juu

Saturday, 15 February 2020

Mbinu za Kumchagua Mwenza Ambaye Hawezi Kukutelekeza

Chagua mtu mwenye msimamoMuda aliotumia mpenzi wako kudumu katika uhusiano wake uliopita unaweza kukupa ishara ya nguvu ya mtu kudumu na wewe; Unaweza kutumia njia hii kama kipimo cha matarajio ya uhusiano wenu mpya. Ikiwa, kwa mfano, mwenza wako anayetarajiwa alikuwa na mahusiano kadhaa ambayo yalidumu...
Share:

Mambo 2 Muhimu Ya Kumfanyia Mpenzi Wako Pindi Mnapo Maliza Kufanya Mapenzi Soma Hapa

Mambo 2 Muhimu Ya Kumfanyia Mpenzi Wako Pindi Mnapo Maliza Kufanya Mapenzi Soma HapaWanaume na wanawake walio wengi pindi wanapomaliza kufanya mambo yao na wapenzi wao chumbani hujikuta wakikaa pembeni bila kuzingatia vitu muhimu vinavyotakiwa kufanywa pindi wanapomaliza kuse*x.VIFUATAVYO NI VITU...
Share:

Fahamu: Mwanamke Ukiwa na Sifa Hizi Ni Lazima Utaachwa Tu

Bila kuwachosha nizame moja kwa moja kwenye mada yetu hii ambayo inazungumzia mambo 12 wasiyoyapenda wanaume kwa wapenzi au wake zao.WIVU WA KUPINDUKIAMwanamke mwenye wivu wa kupindukia humfanya mwanaume kukosa amani kwani hata awapo kazini kwake mwanamke atataka kumfuatilia na kumnyima uhuru.Hawa...
Share:

Tuesday, 4 February 2020

Mwanaume epuka kumwambia maneno haya mpenzi wako

Wanaume wengi hudhani ni vigumu sana kuwafurahisha wanawake lakini si hivyo, ni jambo rahisi, matendo yako kwenye mambo madogo madogo ya kimapenzi na kuchunga ulimi wako vinaweza kumfanya mwanamke wako kuwa na furaha kupita kiasi na kama yeye akiwa na furaha basi ndugu yangu maisha yako yatakua...
Share:

Tuambizane tu ukweli ili tupate kilicho bora katika mahusiano ya kimapenzi

Kwenye swala zima la mahusiano ya mapenzi pesa haina chochote cha kuthibitisha. Na anayetanguliza pesa mbele katika mapenzi hana upendo wala mapenzi ya kweli.Wanawake Usikimbilie kumpima imani mpenzi wako kwa kumuomba pesa ili ujue kama anakupenda au laa mwanaume ni kiumbe anayeweza kufanya...
Share:

Maneno ambayo unapaswa kumwambia mpenzi wako ili kuongeza ladha katika mahusiano

Mapenzi yanayotawaliwa na maneno matamu hunawiri na kuchanua kama mmea uliopandwa kando ya mto. Hakika maneno mazuri husadifu mambo mengi mazuri baina yenu ikiwemo upendo, kujali, kuthamini, heshima, utii, upole, nidhamu, uaminifu, unyenyekevu, usikivu, ukarimu na faraja hivyo ni vema kuhakikisha...
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © 2025 juu | Powered by Blogger