juu

Tuesday 16 June 2020

Tips To Make Him Run After Yo


KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Share:

Siri Nzuri Usiyoijua Kwenye Mahusiano Katika Tendo La Ndoa

Most Curvy Lady In Africa Sanchi Share Another Stunning Picture ...
Najua umechoshwa kumuona yule mwanamke mrembo ambaye unapishana naye kila siku aidha ukiwa nyumbani, kazini, shuleni ama hata katika ule mkahawa maarufu ambao unapenda kutembea kila wikendi bila kuongea na yeye.
Ama labda ni yule mwanamke ambaye umefanya kumuona majuzi na ni mgeni kwako.

Well, haya si matatizo makubwa kwani kama unataka kumtongoza na kumuwini hadi ufanye mapenzi na mwanamke basi unapaswa kuelewa mambo kadhaa yanayofanya kazi, na ujue mbinu za kutumia ili zifanye kazi kwa manufaa yako.
Kama hutaweza kuwa yule mwanaume ambaye anaweza kumshawishi mwanamke kirahisi. basi inaweza kuwa vigumu wakati wa kujaribu kuteka atenshen yake.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>


Lakini usiwe na wasiwasi coz hizi hatua ambazo tutakupatia sahizi zitakusaidia pakubwa kuweza kumuwin mwanamke kirahisi.
So inakuwaje?

Kabla tuanze nataka ufahamu kuwa kila mwanamke anakuwa na ladha yake tofauti tofauti ikija kwa kuchagua mwanaume, na ukitumia ujanja wako vyema wa kutotambulika basi unaweza hata kulala naye kwa muda mfupi zaidi bila wewe hata kufikiria.

Hatua 11 za kufanya ufanye mapenzi na yeye

#1 Kuwa karibu na yeye
Kama unamtaka mwanamke basi kitu cha kwanza ni kuwa lazima umjue vizuri. Usijitokeze na ubabe mwingi wa kujiona beberu kwa sababu atakuona kama tishio kwake ama hatakuwa huru kuongea na wewe ama mbaya zaidi ataboeka na wewe.

Fanya kuongea na yeye ili umjue vizuri. Mtumie meseji mara kwa mara na tumia lugha ambazo zitakuwa sahili kwake ili akukubali haraka. Lakini usiwe na pupa ya kuanza kumtongoza, la. Onyesha tu ule upendo wa kirafiki mara ya kwanza.

#2 Pendezeka
Hii hatua ndio itakayoamua iwapo kama umempendeza ama wampotezea wakati wake. Wakati unapoongea na yeye mara kwa mara jaribu kuangalia ishara zozote kutoka kwake iwapo yuko interested na wewe au la.

Hii hatua unapaswa kumtext na kumtumia jumbe ambazo zitalingana na mambo anayoyapenda. Mfano kama anapenda kuhusu mada za sinema basi pia wewe fanya tafiti kuhusu filamu ambazo anazipenda ili uweze kumpendeza.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Hii hatua pia unapaswa uchunge usiwe mtu wa kuboa kwani ataanza kukutenga polepole mpaka mwisho ujione mjinga. Ukimwona ameanza kujibu meseji zako kuchelewa ama kutokujibu siku nzima basi fahamu ameanza kukutenga. Hivyo basi hakikisha kuwa unakuwa mjanja katika hii hatua.

#3 Kuwa active usiku wa kiza
Wakati mzuri na ule wa msisimko ni kutumia jumbe usiku wa kiza na kupigiana masimu. Usiku wa kiza ni muhimu kwa kuwa mwanamke ni rahisi kuitikia kile ambacho unataka wewe.

Hakikisha wakati unapoanza kumtumia jumbe anza na nyakati za jioni siku ya kwanza, saa mbili siku ya pili mpaka azoee kuchat na wewe mida hizo za saa nne hadi usiku wa kiza.

Pia hapa uchunge meseji zako zisikuje kwa uzito. Anza kwa kumchokoza polepole hadi ufikie pale ambapo unaweza kumtumia meseji za mapenzi hadi zile za kumpandisha nyege.

#4 Ishi maisha mawili
Hapa ni pale ambapo unahitajika kumchanganya. Kila wakati wa usiku unapomtumia jumbe na kumpigia simu hakikisha kuwa unamsuka, unamtongoza na unamrushia meseji za kimahaba. Lakini ikiwa wakati wa mchana umekutana na yeye usijaribu kuongea kama vile ambavyo unaongea naye usiku unless yeye mwenyewe aanzishe stori kama hizo – ishara ya kuwa amependezwa na wewe.

Halafu muhimu zaidi ni kuwa wakati mnapokuwa na marafiki wengine msiongee kuhusu chat zenu kabisa, yaani ni nyinyi wawili pekee ndio mnaopaswa kuongea mambo kama hayo. Hii itaingia kwa akili yake kuwa mambo mnayoyafanya usiku ni kati ya nyinyi wawili hivyo basi lazima kuna kitu ambacho kinaendelea kati yenu.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>


#5 Usimuonyeshe kuwa unampenda
Hapa ndipo wanaume wale wa ‘kawaida’ ndio wanapofanya makosa. Wanamwambia mwanamke kuwa wanampenda na kuwa wanahisia na wao. Yeah, ofcourse unampenda. Tayari anajua hilo, si ni kweli? Unamtext kila wakati, unampigia simu kila mara, na lazima atakuwa anahisi hio kemia.

Lakini ijapokuwa ana fununu ya kuwa unampenda, anahitaji uhakikisho wake kupitia kwa kukusikia wewe umwambie hivyo. Cheza kijanja, usimwambie na mapema. Utakuwa unamsisimua na ataathirika na wewe kihisia. Lakini kumwambia mapema hisia zako zitaua ile haja ya yeye kutakaa kujua zaidi kutoka kwako. Wanipata?

#6 Ingia katika himaya yake ya binafsi
Wakati mko nyinyi wawili pekeenu, kaa karibu na yeye na ujifanye kama hukuona kama umekaa na yeye karibu sana. Umekuwa ukimtongoza mara kwa mara so ni wakati wako sasa wa kuingia katika himaya yake binafsi.

Iguse mikono yake ama vidole vyake wakati ambapo unaongea kitu flani, weka mikono yako kwa kiuno chake wakati unapishana na yeye ama unaenda ule upande mwingine, mguse huku ukimsifia, ama unaweza kumkumbatia sekunde zaidi wakati mnaagana.

#7 Jenga tenshen ya kemia
Kufikia sasa, atakuwa anahisi hisia kila wakati ambapo unamgusa kimaksudi au kibahati mbaya. Hii ndio hatua ambayo unapaswa umfanye atamani miguso yako. Kumbuka hapa kuwa lengo letu ni kufanya mapenzi na yeye lakini tunaenda kimpango. Wakati unapokuwa unamgusa, hakikisha kuwa mkono wako unatomasa mgongo wake ama mikono yake. Msogelee karibu zaidi na umwambie maneno kupitia kwa masikio yake. Ongea kwa sauti nzito na iliyo ya kuvutwa wakati unapokuwa naye. Jenga kemia vile inavyohitajika na utamfanya atamani mikono yako ibaki kwake daima.

#8 Cheza michezo
Kama umekuwa ukimsuka na umekuwa ukimjaza kila wakati unapokuwa umekaa na yeye, basi utakuwa umemtongoza na ameingiliana na unaweza hata kuenda kulala na yeye.

Lakini kama unataka kuchukua mambo hatua kwa hatua basi unaweza kurudi kule kwa text na uwe unamtumia jumbe za kumsuka na kumchanganya akili mara kwa mara. Hapa utakuwa unamtongoza huku ukienjoy. Tumeelewana hapa?

#9 Mazungumzo machafu
Umekuwa ukimtext, ukimsuka, na kumtongoza kila usiku. Na kama amekuwa akiingiliana na text hizo zako, hapa basi ndipo unaweza kuwa na ile ruhusa ya kuongea uchafu na yeye na kuchukua hatua ya juu zaidi. Tumia simu yako kuanza kwa kumtumia meseji zilizo rahisi ambazo zinaonekana safi hadi ufikie kule kwa kumtumia meseji chafu. Na bila hata kujijua mtajikuta nyote wawili mkisex chat pamoja.

#10 Mwagize mtoke out
Pindi ambapo mtakuwa mshafanya sex chat na mwanamke kupitia kwa simu itakuwa tayari ushafunga mchezo. Sasa kile kilichobakia ni kufanya mapenzi ana kwa ana. Mwambie mtoke out ama mwambie kuwa unataka kukutana na yeye siku moja. Tengeneza plan ya kukutana nyumbani kwake ama aje mkutane kwako. Hakikisha kuwa sehemu ni hizo mbili pekee na wala si kukutana sehemu za umma unless kama bado unajaribu kumtongoza mara nyingine. Na hapa ndipo utaamua kama mahusiano yenu yatakuwa ya mlalano ama yatakuwa ya romance.

#11 Fanya mapenzi na yeye
Na mwisho utakapokutana na yeye – tayari anajua ajenda ya kukutana na wewe – usimrukie papo kwa papo eti kwa kuwa tayari umefanya sex chat na yeye kwa simu.
Unaweza kuharibu mpango mzima ambao umekuwa ukiujenga kwa muda.

Well. Hili somo kama unataka kulipata na kulisoma kwa kina na hatua za moja kwa moja basi jichukulie nakala yako ya kitabu cha ‘KUTONGOZA MWANAMKE: Kuanzia Hadharani Hadi Kitandani’ ili uweze kukuza kipawa chako ambacho bado hujakivumbua cha kuwanasa wanawake.
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Share:

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Apagawe Na Mahusiano Bora

Sanchiworld - Photos | Facebook
NDUGU MSOMAJI KUPATA SIRI NA MAUTUNDU YA CHUMBANI BONYEZA <<<HAPA>>>
Ukweli kuhusiana na suala hili ni kwamba vijana wengi wa siku hizi hawafahamu jinsi ya kukabiliana na wanawake, ama kwa kuwa hawapati mafunzo ya kutosha kutoka kwa wazazi wao, au pengine kutokana na wanawake wa sasa kuwa wajanja, kiasi kwamba wanawatisha na kuwakatisha tamaa mapema.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Ni dhahiri kuwa vijana wengi wa zama hizi huwachukulia wanawake kwa mtazamo fulani ambao hauwasaidii kuwafahamu vema, hali ambayo matokeo yake ni kukosekana kwa mafanikio na tija katika suala la mapenzi.

Katika zama hizi ambapo ungangari wa wanaume umepungua kutokana na kampeni za usawa wa jinsia, vijana wa kiume ama huwaona wasichana kama vituo vya polisi, au wengine huwaogopa kutokana na kujidhania kutokuwa na uwezo wa kifedha wa kuwatosheleza, hasa mwanamke anayehusika anapokuwa ni mrembo wa kusemwa na wengi.

Unaweza kuwa umezimika au umekufa na kuoza kwa mwanamke, lakini pia ulimi wako ukawa mzito, hata ukashindwa kumweleza haja yako na kumfanya avunjikevunjike na kukupenda, hata kama hakuwa na wazo la kukutana na wewe maishani mwako.

Jambo la muhimu la kwanza ambalo kijana wa kiume hupaswa kulizingatia ni kwamba, unapoanza kutafuta wasichana kwa minajili ya mapenzi, unapaswa kwanza kuwa mtu wa kujiheshimu na kuonesha heshima kwao pia. Baadhi ya watu husema, mheshimu msichana unayemfuatilia, kama ambavyo ungependa kuona mama yako au dada yako akiheshimiwa na mume/bwana wake.

Lakini pia, unapotaka kujiongezea nafasi za kupata mwanamke, hususan kama unataka mmoja tu kwa ajili ya mapenzi ya daima au ndoa, jitahidi kuwa mtafutaji. Simba asiyewinda mwishowe ama hufa njaa, au huishia kula wanyama dhaifu kama binadamu. Usipojihangaisha katika kipindi muafaka cha kutafuta mwanamke unaweza kujikuta ukiwanajisi watoto wasioweza kujitetea na ukaishia jela.

Unapokutana na msichana kwa mara ya kwanza na kuzungumza naye kuhusiana na mapenzi, mwoneshe tabia ambayo atahisi kuwa inakutofautisha na vijana wengine wote wa kiume aliopata kukutana nao kwa mazungumzo, au anaofanya nao kazi ofisini, au anaosoma nao. Mtendee uungwana, ukarimu Ili kuhakikisha unaiteka roho ya msichana kwa jinsi hii, jitahidi kuwa mtu wa mahaba, badala ya kuonekana kuwa na tamaa ya kumwingilia kimwili. Pia mshike mkono wake kwa jinsi isiyoonesha tamaa bali upendo, mfungulie mlango wa nyumba na gari, mwandalie kiti mfikapo mahali na mkataka kukaa na kwa ujumla mfanyie ukarimu na uungwana.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>


Mchukulie wa thamani Pia katika vitendo vyako, mfanye msichana adhani unamchukulia kuwa wa thamani na wa maana sana . Unapompeleka nyumbani kwako, mathalani, mbusu mkononi au shavuni (akiwa tayari) wakati wa kuagana naye, huku ukimwahidi kuwa utampigia simu. Msichana atashangaa na kujiona wa thamani kubwa kwako, kwani umemtendea kama mtu muhimu kwako. Mtendee kama malkia Ikitokea ukatoka na msichana huyo mara nyingine, au akakutembelea nyumbani kwako, endelea kumchukulia kama binti mfalme au binti malkia.

Katika zama hizi za kupungua kwa upendo katika jamii, wanawake wana kiu ya mahaba na mwanaume anayefahamu jinsi ya kutoa mahaba ni mtu adimu kwa watu wa jinsia ya kike. USIHARAKIE NGONO Katika siku za kwanza, hakikisha kuwa huwi na haraka ya kutaka ngono, kwani ukivuta subira, msichana mwenyewe atakuonesha kwa ishara kuwa yuko tayari kwa ngono. Vuta subira, kwani kabla hujakata tamaa na kujiona unachelewa kuonja asali, tayari msichana huyo ataanza kuanguka penzini na wewe kwani wewe ni mwanaume unayemheshimu na kumtendea kwa ukarimu, mahaba na heshima.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>


Hakika hata yule mwanamke anayedhaniwa kuwa malaya au changudoa hupenda kutendewa hivi na mwanaume. Kwa hiyo kwa ujumla, kabla ya kufikia mahali ukajidhania kufanikiwa katika medani ya utongozaji na ukampata mwanamke wa kukufaa, unapaswa kufahamu ni nini hasa wanawake hutaka kutoka kwa wanaume na jinsi ya kujipatia nafasi katika moyo wake na baadaye kuuteka.

Sifia uzuri wake Mwambie msichana huyo kuwa ni mzuri, na kwamba ni mtu wa kufaa kuwa naye maishani – mtu anayefaa kuwa mama wa watoto wako. Wanawake hupenda sifa kama hizo hasa kama watahisi kuwa mwanaume amezitoa kwa dhati na si kwa kutania au kudhihaki, au kumvalisha kilemba cha ukoka. Hapa inambidi mwanaume kuwa makini, asije akatia chumvi sana , akashtukiwa.

Achana na wanawake wengine Jambo lingine la muhimu ni kuhakikisha kuwa unapokuwa unamfuatilia mwanamke mmoja huwi na tamaa ya kuwafuatilia wengine wengi. Hakikisha kuwa msichana unayemfukuzia anahisi kuwa umeweka akili yako yote kwake. Hata hivyo, hakikisha kuwa hufikii mahali ukawa kama mjinga kwa ajili ya kutaka kumfurahisha, kwani hakika hutamfurahisha kwa kufanya hivyo bali unaweza kumkosa.

Na kama baada ya kumtendea ukarimu na kumheshimu bado ataonekana akiendelea kuambatana na wanaume wengine au kuzungumzia wapenzi wake wa zamani, achana naye kwanza, kwani huyo hajakuheshimu. Hakikisha kuwa mwanamke unayemheshimu yeye pia anakuheshimu, la sivyo achana naye na muda si muda watakujia wanawake wakionesha nia ya kukutaka. Usikubali kupoteza nguvu zako na muda wako kwa msichana anayeonesha kila dalili kuwa hakupendi na anakuyeyusha.

Mfanye kuwa rafiki Lakini kuna ushauri mkubwa zaidi anaoweza kupewa mwanaume, hasa kijana, kuhusiana na wanawake. Ukiutekeleza ushauri huu basi karibu kila mwanamke utakayekutana naye atakupenda na inaweza hata ikadhaniwa kuwa unatumia dawa. Ushauri wenyewe ni kwamba jitahidi kumfanyia urafiki mwanamke unayetoka naye. Mpe nafasi ya kujisikia huru na salama awapo na wewe na utabaini muda si mrefu kuwa umekuwa mmoja wa wanaume wanaopendwa zaidi katika sayari hii kwani wanawake wengi ( kama si wote) watakupenda. Hii itatokana na ukweli kuwa kila msichana utakayetoka naye, hata katika hali isiyokuwa ya kimapenzi, atawaeleza marafiki zake kuhusiana na tabia yako na kila mmoja atatamani kutoka na wewe kwani unafahamu jinsi ya kumkuna mwanamke pale panapomwasha, kwa matendo yako.

Inaaminika kuwa kitu ambacho humfanya mwanamke ampende sana mumewe au bwana wake, au mwanaume mwingine yeyote, ni ule ukweli kuwa mwanaume huyo amemwonesha urafiki mkubwa. Rafiki ni mtu ambaye mnajuana, kupendana na kuaminiana na mara nyingine huweza kuitwa maswahiba au wandani. Ni mwanamke mjinga tu asiyeweza kumpenda mtu aliyemwonesha sifa hizi. USIJILAZIMISHE KUMPENDA Jambo la msingi kabla ya kutekeleza yote yaliyobainishwa hapo juu ni kujihakikisha wewe mwenyewe kwanza kuwa mwanamke mwenyewe unampenda kwa dhati na si kwamba amekulazimisha mwenyewe kwa kukuganda.

Hakikisha kuwa hujilazimishi kuambatana na mwanamke ambaye rohoni mwako huhisi kumpenda. Kama msichana atakujia na kukwambia kuwa anakupenda lakini wewe ukawa huhisi mapenzi kwake, kuwa mkweli na kumwambia kuwa hauko tayari kuambatana naye. Wanawake pia humpenda mwanaume aliye muwazi na mkweli. HAKIKISHA ANAKUPENDA KWELI Sasa baada ya jitihada zote za kumwingiza 'line' mwanamke ambaye una uhakika kuwa unampenda, unaweza ukajikuta katika mtihani mwingine: hujui kama mwanamke unayemfukuzia amekupenda kwa dhati au la. Hupaswi kuwa na wasiwasi kuhusiana na hili pia.

Hebu tuangalie dalili kadhaa za mwanamke ambaye hakupendi. Kwanza, kama mwanamke hakupendi, hata baada ya kumwonesha kila dalili kuwa unamjali na umemfanya swahiba wako, utabaini kuwa kila unapotaka kumkaribia yeye anasogea, au anakukwepa. Mwanamke huyu pia utamwona akionekana kama mtu aliyekerwa na jambo kila unapokutana naye, ataepusha macho yake kukutana na yako, atakunja mikono yake kifuani mwake kuepuka kukushika mkononi mnapokutana na atajitahidi kufunga miguu yake unapozungumza naye. Pia mwanamke huyu ukiwa naye anaonekana kutojali na kama ana simu atakuwa anatuma au kupokea ujumbe wakati wewe ukimweleza jambo.

Tena wakati ukizungumza naye utabaini kuwa macho yake yameelekezwa kwa wanaume wengine kama wapo – ishara kwamba katika wewe bado hajampata mwanamume anayemfaa. Mwanamke huyu pia hatafanya jitihada za makusudi za kutaka kuzungumza na wewe, utamsifia lakini hatajibu, wala hatajibu maswali yako na hatauliza maswali yoyote kuhusiana na wewe au mambo yako. Kama msichana huyu haumwi, basi dalili hizi zinatosha kukufahamisha kuwa hakutaki na ukiendelea kumfuatafuata unaweza kujikuta unapoteza muda wako bure.

Mwanaume mwenye hekima hufahamu maana ya dalili hizi na hasubiri mwanamke amtamkie kuwa 'sikutaki' au kumtukana na kumdhalilisha hadharani. Kama Waswahili wasemavyo, mara nyingi akufukuzaye hakwambii toka. Pamoja na kwamba zipo sababu nyingi binafsi za mwanamke kutojisikia kumpenda mwanaume, yawezekana sana kuwa katika uchunguzi wake amebaini kuwa wewe si mtu wa mahaba na kwamba huwezi kuwa mwandani wake wa maisha, au pengine amekushtukia kuwa unamfuatilia mwanamke mwingine. Ili kuepuka adha ya kunyanyaswa na mwanamke kwa kukataliwa, unapaswa kuzifahamu sifa kadhaa anazopaswa kuwa nazo mwanaume ili kuishinda roho ya kigumu ya mwanamke.

Kwanza, mwanaume mwenye uwezo wa kuiteka roho ya mwanamke ni yule ambaye anapoingia katika mbio za kutafuta mpenzi au mchumba hufahamu anachokifanya, huku akijua kuwa hakuna muda wa kupoteza.

Huyu huchukua hatua kuhakikisha anavuta hisia za mwanamke. Pili, mwanaume mshindi katika fani hii ni yule anayejifunza kutokana na mafanikio yake ya zamani na kusahau kushindwa kwake kwa zamani. Mwanaume huyu huzingatia kuboresha upande wake, akiboresha mwonekano wake na tabia zake, ili kumvutia mwanamke. Vilevile, mwanaume mshindi katika medani ya mapenzi huwa mtu wa kujiamini. Hujisikia yuko huru na salama mbele ya wanawake, jambo ambalo wanawake hulichukulia kama sifa mojawapo ya mwanaume wa kufaa. Pia mwanaume mshindi huifahamu siri ya kufurahi na kila apatapo muda mzuri huonesha furaha na tabasamu. Mwanaume huyu hufahamu jinsi tabasamu, kicheko na bashasha vinavyoweza kumvutia mwanamke na kuuvunjavunja moyo wake.

Mwanaume aliyeifahamu siri ya ushindi katika mapenzi pia si mtu wa kusitasita, bali kila anapoona upenyo wa kumfikia mwanamke amtakaye huutumia, bila kuanza kufikiria jinsi ya kuanza, wala matokeo. Mwanaume huyu hufahamu kuwa wajibu wake ni kuomba na kwamba suala la kunyimwa au kupewa ni la mwanamke. Kuna usemi wa kabila moja hapa nchini usemao 'mwombaji haaibiki, bali huaibika anayemnyima'. Nadhani wanaume hawa huuzingatia usemi huu pia. Pia mwanaume mwenye uwezo wa kuiteka roho ya mwanamke ni yule ambaye hujiwajibisha kwa asilimia 100 katika jambo lolote linaloweza kutokea katika maisha ya kimapenzi. Mwanaume huyu hujiona anahusika, bila kujali kuwa jambo lililotokea ni zuri au baya. Mwanaume huyu hajengi msimamo wake kutokana na kushindwa kwake kumpata mwanamke fulani, bali hujifunza kutokana na kila kosa. Pia huwa na mawazo chanya, mathalani aendapo kwenye mtoko huzingatia tu kuwa anakwenda kuburudika, bila kujali kuwa linaweza kutokea jambo baya huko.

Hizo ni baadhi tu ya sifa za 'mabingwa' katika suala zima la mapenzi. Kama utazifanya kuwa sehemu ya hulka yako, ni wazi kuwa utafanikiwa sana katika mbio zako za kumtafuta mpenzi na hutakuwa na m
Share:

Monday 15 June 2020

Je Wajua Sehemu Zinazompa Utamu Mwanamke? Ukigusa Tu Basi

Sanchi World: You Never Can Get Tired of a Sweet Thing | Chocolate ...

Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake ambalo likiguswa anakua taabani hivyo ni wajibu wa mwanaume kulitafuta na kuligundua eneo hilo.


Style Za Kumkojolesha Na Kumfikisha Mwanamke Kileleni Haraka,,,,,

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<HAPA>>


Mazoea ya kufanya mambo yaleyale kila siku kwa muda mrefu hufanya tendo hilo la ndoa lianze kua baya na huenda ikawa chanzo cha mtu kuchepuka kutafuta ladha zingine.

Kitaalamu katika sayansi ya binadamu kuna maeneo kadhaa ambayo wanawake wote wakiguswa hupata msisimko mkali lakini msisimko hutafautiana kutokana na mwanamke husika kama ifuatavyo.

10. Kine-mbe; hii ni sehemu ya mwanamke ambayo kazi yake ni kuleta msisimko tu na raha kwa mwanamke..eneo hili linazaidi ya mishipa ya fahamu 8000, ni eneo dogo sana lakini shughuli yake sio ndogo. naweza kusema ndio eneo lenye msisimko mkali kuliko yote niliyotaja hapo juu na likiguswa tu mwanamke analoana kabisa.

Jinsi ya kufanya; kidole chako kikubwa cha kinganyani bonyeza na kuachia sehemu hiyo kama mtu anayekagua parachichi pia sugua kwenda chini, juu na pembeni kuangalia muhusika anapenda wapi zaidi pia kama una uhakika na usafi au afya ya muhusika unaweza lamba lwa kuzungusha ulimi sehemu hiyo.
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<HAPA>>

1. Kichwani; juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa.

2. Sikio; sikio ni sehemu yenye mishipa ya fahamu inayoenda kwenye ubongo, mara nyingi sikio watu hua wanalipuuza sana na kuzani halihusiki lakini naomba nikwambie ni moja ya sehemu inayoweza kumfanya mtu achanganyikiwe.

3. Ulimi ; ulimi ni sehemu ya mwili ambayo ina mishipa mingi mara mia moja zaidi kuliko ile mishipa ya fahamu ya viganja vyetu. msisimko wa ulimi unasababishwa kumwagika kwa homoni ambazo zinatuletea furaha ya mioyo yetu.

4. Shingo; hii ni sehemu ya mwili yenye ngozi laini sana ambayo inasisimka hata kwa kuipumulia tu na pua. ni moja ya sehemu nzuri sana kunyonya, kulamba na kubusu.

Jinsi ya kufanya; ukiwa umemkumbatia mtu wako basi busu upande wa kulia au wa kushoto wa shingo huku ukinyonya ngozi la eneo hilo.

5. Chuchu; wanaume wengi wanatumia sehemu hii kama sehemu kuu kumsisimua mwanamke, ni kweli kabisa tafiti zinaonyesha kwamba sehemu ya ubongo ambayo husisimuka chuchu za mwanamke zikiguswa ni sehemu hiyohiyo ambayo inasisimka kinembe na u-ke vikiguswa. kwa hiyo ni moja ya sehemu muhimu sana.

Jinsi ya kufanya; tomasa matiti yote ya mwanamke kwa kutumia mikono yako miwili kisha nyonya chuchu yake taratibu huku kama unaing’ata na kuiachia. badilisaha kwa kuchocha chuchu ya kulia na kushoto.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<HAPA>>

6. Kiuno au mgongo wa chini; kama umechunguza ni kwamba wanawake wengi husisimka sana wakiguswa viuno vyao ghafla hata wakati wa kukumbatiwa tu. hii ni sababu ya mishipa ya fahamu inayoenda hadi kwenye sehemu zake nyeti hupita huko.

7. Tumbo; tumbo ni sehemu ambayo watu wengi hawaitilii manani sana lakini misuli ya tumbo imeungana na u-ke moja kwa moja ndio maana baadhi ya wanawake hufika kileleni kwa kufanya mazoezi ya tumbo kitaalamu kama core exercises..

8. Katikati ya mapaja; hii ni sehemu yenye msisimuko mkubwa kwenye mwili wa mwanamke, watu wanaondesha magari wanajua siri hii kwani wakimpakia mwanamke wanatumia njia hii kumsisimua kwa kuweka mkono mmoja kwenye mapaja yake.KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<HAPA>>


Mwisho; sehemu zote nilizotaja hapo juu ni muhimu sana kwa ajili ya kumuandaa mwanamke japokua kila mwanamke anapata msisimko zaidi kutokana na yeye mwenyewe alivyo yaani mwingine shingo linaweza kua na msisimko wa kawaida likiguswa lakini mwingine ikawa msisimo mkali zaidi.
Share:

KUPATA MAUTUNDU YA KIZUNGU HAPA

Extra Important Tips For Surviving A Long- Distance Relationship

Extra Important Tips For Surviving A Long- Distance Relationship

KUYAPATA MAMBO HAYA KIUNDANI  BONYEZA <<<HAPA>>>
Share:

Saturday 13 June 2020

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAUME KITANDANI


mtu wa furaha anastahili pongezi kubwa sana kwa kazi nzuri unayofanya hasa kujitoa ili kuhakikisha ndoa yake inakuwa na afya kila siku.
Wapo wanaume (siyo wote) hata kama mwanamke anajitahidi kwa nguvu zote na ujuzi wake wote kumfurahisha, bado mwanaume haelewi somo anaendelea na maisha yake kama anavyojua yeye, hana muda wa kusikiliza kitu chochote kutoka kwa kiumbe anaitwa mwanamke.

KWA VIONJO VYA KITANDANI  NA MASTALI YA KITANDANI  BONYEZA <<<HAPA>>>

Binafsi namshukuru Mungu na pia nakiri kabisa kwamba ni moja ya wanaume walio barikiwa duniani kupata au kuoa mke ambaye anajitahidi siku zote kuhakikisha ninakuwa mwanaume mwenye furaha; kwani naziona juhudi zake kwa maneno na matendo.

Ili kuchambani kuwe na furaha ni muhimu furaha kuanzia nje ya nyumba kabisa then sebuleni na kumalizia chumbani.
Jambo la msingi katika mahusiano ya ndoa; kila mwana ndoa anatakiwa kufanya lile ambalo na yeye anapenda kufanyiwa.
Jitahidi sana kutenga muda kwa ajili ya mume wako kwani maisha ni mafupi sana kuishi kwa kubishana, hasira, gubu, donge, kusemana na kulaumiana hakuna maana zaidi ya kupoteza muda kwani katika vita ya mume na mke anayepata hasara wa kwanza ni ninyi wenyewe then watoto.
Muhimu ni kuishi kwa kupeana mambo mazuri sasa hivi kwani huwezi kujua kesho kitatokea nini, life is too short so live at fullest.
Anza kwanza wewe mwenyewe mwanamke kuwa mtu wa furaha thenmwambukize na yeye, hapo mtakuwa mmefungua mlango wa furaha ya nje na ndani ya sita kwa sita.

Furaha ya kwanza kwa mwanaume ni wewe mwanamke unavyoonekana.
Idara ya mwonekano, urembo, uzuri ambao unakufanya uwe mwanamke.
Mwanaume siku zote anapenda sana mwanamke ambaye anapendeza (likable) jitahidi kujiweka safi muda wote,
kwa nini uwe rough,
mchafu, unanuka, hujipendi,
mzembe, hujipambi,
unakuwa kama huishi dunia ya leo.
Kujipamba na kupendeza ni asili ya mwanamke na wanaume huvutiwa na jinsi mwanamke unavyoonekana.
Ni vizuri kumuonesha mume wako jinsi unavyompenda, jinsi unavyomjali na jinsi unavyomuhitaji na kujitengeneza vizuri ni moja ya njia ya kuonesha hayo.
Usitegemeee mwanaume atapata furaha chumbani kama mwanamke mwenyewe ndo huna mpango na uzuri wa mwili wako.

KWA VIONJO VYA KITANDANI  NA MASTALI YA KITANDANI  BONYEZA <<<HAPA>>>

Je mwanaume kwa chakula unaweza kumpa furaha?
Ni kweli tupu, Unaweza kumfanya mwanaume ajisikie raha sana na furaha kubwa hadi chumbani hasa kama unajua jinsi ya kumpa mlo wa uhakika (chakula anachokipenda) na kama Mungu amekubariki kupika vizuri basi hiyo ni silaha muhimu sana.
Jaribu angalau kwa weekend mtengenezee chakula maalumu ili na yeye awe moja ya wanaume wenye furaha hiyo hapa duniani.
Hivi umewahi kupanga mkakati wa kuhakikisha kuna siku mume wako anakuwa ni mtu pekee mwenye furaha duniani?
Kama bado sasa ni wakati wake!
Hata kama unajua wewe kupika chakula kitamu ni kilaza, bado unaweza kusoma vitabu au kujifunza then ukampikia mumeo.
Wapo wanawake wanajua kabisa mume wake anapenda chakula aina fulani na anajua kabisa akimpikia hicho chakula mume huwa anafurahia lakini who cares, miezi inapita mume hajapata hicho chakula anachokipenda na wakati huohuo mwanamke ana lalamika eti mume siku hizi hanipendi na chumbani mambo si moto, anza kwaza kuwasha moto jikoni then usubiri na yeye awashe moto wa chumbani; thubutu utavuna ulichopanda!
Kama unataka chumbani kuwe na furaha lazima na wewe afanye sehemu yako kwa ajili yake.
Wapo wanawake miezi na miezi, mwaka hadi mwaka kila siku chakula anapika house girl, najua wanaume tunafahamu kabisa kwamba wake zetu mna majukumu makubwa, ila kitendo cha kupikiwa na msichana wa kazi mwezi mzima, mwaka mzima na wewe upo huwa wanaume hawafurahii.
mwanaume hujisikia furaha sana siku akila chakula alichopika na mke wake.

KWA VIONJO VYA KITANDANI  NA MASTALI YA KITANDANI  BONYEZA <<<HAPA>>>

Utampaje furaha huko chumbani?
Ukisha kuwa umemtengenezea mazingira ya furaha nje ya chumbani, basi lazima hata chumbani atakuwa na furaha tu kwani kazi muhimu umeifanya, kilichobaki ni kuangusha mbuyu kwa shoka moja tu.
Wakati unaingia chumbani tu achana kabisa na mawazo yoyote hasi kuhusu yeye, achana kabisa na mambo usiyoyapenda kuhusu yeye na badala yake jiweke huru na wazi kabisa zaidi jimwage au jiachie kabisa.
Usimfiche kitu chochote unataka kutoka kwake, yaani uwe wazi na jisikie huru fanya kile yeye huwa anapenda hapo hakuna mipaka hakuna kuogopa kufanya kitu, hapo ni uhuru wa ajabu. Mpende kwa maneno,
kwa matendo,
kwa kunusa,
kwa kuonja kwa kugusu na
kwa hisia zote.
Usijilaze kama gogo mbele ya mume wako na kumsubiri yeye afanye kila kitu, participate fanya kile kimekuleta kutoka kwa wazazi wako, kwani kwa wazazi wako ulikuwa huvai, ulikuwa huli, si umemfuata kwa sababu yeye ndiye peke yake anaweza kukupa huduma ambayo wazazi wako hawawezi kukupa, yeye peke yake anaweza kuuhudumia mwili wako na feelings zake, ndiyo maana inabidi uchangamke, ujishughulishe na kuhakikisha unapata kile unahitaji kutoka kwake na kwa kuwa wote mna furaha na mnafanya kile mnapenda basi hapo
Share:

mchombeze mume wako kwa vionjo tofauti

1. Mume kama mume anachoka kitu kimoja au hikohiko kila siku hivyo anataka mabadiliko, sio tu kwenye chakula kwenye kila kitu kinachohusu nyumba hivyo ni jukumu lako mama/mke kuwa na mabadiliko hayo.
 

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

2. Mke kama ulizoea kuvaa suruali mara kwa mara hebu uwe unabadilisha mara moja moja na kuvaa sketi fupi usawa wa magoti iwe ya kubana kidogo (hakikisha mumeo anaona mabadiliko hayo). Kama ulikuwa wa kuvaa sketi ndefu basi siku hiyo vaa pensi usawa wa magoti (mkiwa nyumbani kwenu na si vazi la kazini) hakikisha mumeo anakuona hii huleta hamasa ya kutaka kujua mke wangu kesho atatokaje hivo kumuongezea hamasa ya kukuangalia kila siku.

3. Unajua tabia za haose girl nyumbani kwako anapomuhudumia mumeo au hata anapowahudumua wewe na mumeo, mfano anavowaandalia chakula na kuwakaribisha, anavokuwa amevaa, sauti na lugha yake anapoongea na nyie. (hapa ni kuwakamata waume wanaotamani kutoka/kutembea na housegirls) siku moja moja hasa week end ondosha watu wote nyumbani kwako na ubaki wewe na mumeo kisha vaa kama haouse girl (like kanga ya lubega kiblose simple na sketi simple) anza kumkaribisha mumeo karibu kuoga (kwa sauti ya kinyalu) mnisamehe wanyalu si kwamba housegirl wote ni wanyalu.
Huku ukiwa unajibinya vidole kama mto mwenye woga unamuita mumeo, samahani shemeji chai tayari na kagoi kwa mbali cha heshima. Hapa mumeo lazma akutizame na hakikisha siku hiyo hatoki.
Akiwa anakunywa chai unamwambia samahani shemeji naomba nikakusaidie kutandika kitanda, akikuruhusu unakimbia mbio huku unatandika kwa mikao ya kimitego mitego lazima aje akuchungulie leo nini kimekupata hapo ataona mikao yako ya kimitego ukitandika kitanda ukimaliza unamtaarifu chumbani pako tayari shemeji(hii unajifanya wewe ni house girl na akili yake itawaza u r a house girl so anapata huduma tofauti).

Mtu huyo aliendelea kuelezea kuwa wanaume akili zao huwa zinawaza kitu kilichopo mbele yake na si cha baadae sana hivo ukifanikiwa kuiteka akili yake kwa wakati huo ndo umemnasa. Mwanaume pia hapendi kuambiwa kuwa amekosea hata kama amekosa hivo mke usipende sana kumwambia mumeo makosa yake hata kama amekosa, ikibidi unatumia lugha ambayo hatajisikia vibaya.
Kila siku umpende na kumjali mumeo tuu hata kama yeye hakurudishii mapenzi hayo vile wewe unamuonesha.KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

4. Siku nyingine unakuwa baa medi wewe mke ndio na siku hiyo unampa ofa mumeo akiwa nyumbani kwenu. Mke unavaa kama baa medi wanavovaa kisha baada ya mlo unaanza kumkatia kanywaji na ukiwa nae mezani wewe usinywe sana ili uweze kumuhudumia, unafanya kama baa medi wanavofanyaga, unamkaribisha kinywaji na baada ya bia mbili tatu unamuomba kukaa nae muongee obvious atakubali. Hapo nawe unaomba uagize kinywaji kimoja akulipie (kumbuka unafanya kama uko baa ila uko nyumbani kwako) lengo ni kumteka mume akili asikuone kama mke akuone kama baa medi na unampa huduma zote za baa medi. Ili kesho yake ukirudi kuwa kama mke anakuwa ameshabadili mtazamo wa kuwa mke wangu nimemkinahi.
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Akikuruhusu kukununulia kinywaji hunywi kwanza unaka tuu nakuanza kustorisha nae habari za kawaida tuu za kitaa au za maisha. Akikuuliza mbona hunywi kinywaji nilichokununulia unamwambia ntakunywa baadae niko kazini, hapo unakuwa umezidi kumteka kiakili na anakuwa anajiuliza niko baa niko nyumbani, kwakuwa kanywaji katakuwa kamemtembelea vizuri tayari atakubembeleza tuu kunywa bana hata moja tuu hutalewa maana wanywaji huwa wanapenda kampani ya kunywa. (waweza mtolea sababu kinywaji ulichoninunulia nimelipia short ya jana hivo siwezi kunywa, atakununulia kingine) kunogesha uhalisia wa baa ukiwa nyumba

5. Siku nyingine unakuwa mama ntilie, pata vionjo vyo te wanavyofanya mama ntilie kuwakaribisha wateja wao kisha nawe umkaribishe mume kwa staili hiyo.
Share:

Zifahamu NJIA kuu 4 Jinsi ya Kumfikisha Kileleni Mwanamke Sugu Ndani ya Dakika 5 tu



(1)USIJALI UKUBWA WA UUME AU UDOGO WA UUME.

Ukubwa na udogo wa uume hili limekuwa ni tatizo wengi huumia kutokana na maumbile haya haswa wale wenye maumbile madogo. Iko hivi kila mwanaume huona uume wake ni mfupi kutokana na mtazamo wake na ni wazi unapoona uume wako ni mfupi bas ni mfupi haswa tena ni mfupi kuliko unavyofikiria kwa kawaida size ya uume ni sm 10.5(nchi3.5)kutoka sehemu yake ya awali kabisa.
Hata hivyo wastani umbo la kawaida la wastani ni sm9.5 lakini kipimo hiki hakina maana na vipo vitu ambavyo vinaweza kufanya uume unywee kwa ncha mbili au zaidi kama vile baridi au kuogelea. Lakini haumaanishi kuwa na uume mkubwa basi utamfikisha mwenzio kileleni au kuwa na uume mfupi hautomfikisha mwenzio kileleni sasa nini ufanye?
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

(2)TENGENEZA MAZINGIRA

Mtengenezee mazingira ya msisimko.Wanawake hawasisimkwa kimwili tu bali husisimkwa kiakili na kimwili hivyo mtengenezee msisimko wa kifikra Msisimko wa kimwili na fikra hivyo ni vitu viwili tofauti lakini vinatakiwa vyote viwe ni vyenye kwenda sawa. Weka mazingira yani hali inayovutia kimapenzi kitanda kizuri ,godoro zuri nasehemu iwe tulivu itakayomfanya ajisikie kulala na wewe.
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

(3)MCHEZEE

Ili kumfanya mke wako ajisikie na afike kileleni mwanamke huitaji muda mrefu kuchezewa kuliko mwanaume hivyo fahamu sehem sahihi ambayo unapaswa kumshika zinazompa ashki na sehem huwa zinatofautiana kwa wanawake ukiona anafurahi anachopenda endelee zaidi.
KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>


(4)MUDA

Hapa ndipo wengi hukosea kitaalam mwanamke huchelewa kusisimka kuliko mwanaume hivyo hapa wewe mwanaume unatakiwa utoe muda zaidi yani uendelee kumchezea zaidi kwa kumshika sehem ambazo yeye hufurahia kuwa makini na sehem hizo kila siku na hakika wewe utakuwa mfalme wake kila siku na kumfanya kutokukusahahu na kikubwa kufurahi kila unapokutana nae Japo uume wako ni mfupi au mrefu usipoyafanya hayo utamuacha na maumivu utafika wewe tu kileleni katika kila mchezo.

KUPATA MAUTAMU YA KIZUNGU BONYEZA <<<HAPA>>>

Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger