juu

Saturday, 5 October 2019

FAHAMU MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA WAKATI WA KUCHAGUA MCHUMBA

Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi...
Share:

Mwanamke kuwa mbunifu kuyanogesha mapenzi kwa mwenzi wako kwa kumtimizia haya;

Ndoa au Mapenzi ni tamko takatifu ambalo mamilioni ya watu tumejiingiza wenyewe kwa hiari.Hii ina maana kwamba umepata mtu wa kuishi na wewe katika raha na shida zote hadi kifo.Unakuwa umeingia katika kifungo cha Kupendana, kuheshimiana na urafiki, hata hivyo jinsi miaka inavyoenda unaweza kujikuta...
Share:

Namna bora zaidi ya kumchangamsha na kumfurahisha mwanamke

Ni kitu gani hasa kinamfurahisha mwanamke? Hauwezi kumfurahisha mwanamke kwa kumkejeli au kumshika baadhi ya maeneo ya mwili wake(utaishia kumchukiza na kujiondolea point). Utajua unamfurahisha mwanamke pale tu unapomfanya ajisikie furaha, na wakati mwingine hushindwa kujizuia na hujikuta...
Share:

Maujanja ya kunogesha mapenzi yako hapa!!

Maisha ya kimapenzi kila ikiitwa leo yanazidi kubadilika ujuzi uliokuwa nao jana yawezekana wazi kabisa leo sio ujuzi kabisa ila ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya watu sasa chukua mda mfupi kusoma makala hii utajifunza kitu MMMH mshaanza eti nimeisha ingia mama Chaunabe kitanga na njia nisiye...
Share:

Namna sahihi ya kuepukana na wivu kwenye mapenzi***

Wivu ni chachandu, vilevile ni kionjo cha mapenzi. Wakati mwingine ni sumu ya uhusiano, hali kadhalika hutokea kuwa kikwazo cha penzi endelevu. Ni vizuri kulitambua hilo ili ujue jinsi ya kuishi kwa kuendana na mazingira yanayofaa.Mtu mwenye mafanikio kwenye mapenzi ni yule anayeamini katika saikolojia...
Share:

Utundu kwenye mapenzi ndio silaha salama ya kulilinda penzi kwa mpenzi wako

Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!…Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda...
Share:

SMS ZA KIMAHABA ZA KUMLIWAZA NA KUMFURAHISHA MWENZI WAKO

Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,ndugu zako wanaotugombanisha  na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.Mapenzi yetu yadumu daima.*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*“Umbali si shari ila kujua hali ni mali”,“jambo la wema ni asali...
Share:

Mambo Ya Kufanya Ili Kurudiana na Mpenzi Mliyeachana

Watu wengi wanaachana na wapenzi wao kwa sababu mbali mbali lakini unafanya Nini pale unapoachana naye halafu ukaja kugundua kuwa bado unampenda? Jibu ni rahisi ni kumrudisha tu kwa njia yoyote. Watu hawajui kumrudisha mpenzi mlioachana ni jambo rahisi sana kwa njia chache tu nitakazokufundisha...
Share:

Wanawake Wanaojiona Warembo Sana Uishia Kusimamia Harusi za Wenzao Wengi Hawaolewi

Nimeenda harusi nyingi wanawake wanaoolewa ni wale wa kawaida na wenye kujitambua,hawa wanaojiita warembo wengi wao hawaolewi na huishia kusimamia harusi za wanawake wenzao tu. Pia wengi huishia kuwa nyumba ndogo,sababu kuu zinazofanya wasiolewe ni wengi wanakuwa wanataka kuishi maisha ya tamthilia...
Share:

Hatua 10 Muhimu kupata Mwanamke yeyote Duniani

Saikolojia ina mambo mengi ambayo tukiyatumia vizuri katika maisha yetu inaweza kutusaidia kuepukana na mikanganyo katika mahusiano na maisha kwa ujumla. hizi ni baadhi ya hatua muhimu ikiwa umemwona msichana ukampenda na sasa unataka kuanzisha mahusiano naye. HATUA 10 ZA KUANZA MAHUSIANO NA MSICHANA...
Share:

UNAMTONGOZA, Anasema Anakuchukulia Kama Rafiki, Unajua Kwanini?

“Hataki muwe zaidi ya hapo, anakuchukulia kama rafiki!” Stori inakwenda hivi; baada ya kumwangalia kwa muda mrefu, huyumwanamke anambae anakuuwa pole pole kwa mvuto wake, ambae anakila kitu ambacho wewe macho yako kwako unaona ndo kile kinachoitwa na kutengeneza uzuri usiopimika, ubongo wako unaamini...
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © 2025 juu | Powered by Blogger