juu

Saturday 5 October 2019

FAHAMU MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA WAKATI WA KUCHAGUA MCHUMBA




Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.
Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.
Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.
Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.



Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.
Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.
Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.
Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.
Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.
Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.
Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.
KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.
Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.
PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.
TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.
NNE – Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.
Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.
TANO – Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.
Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.
Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.
SITA – Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.
Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.
SABA – Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana
NANE – Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.
TISA – Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.
KUMI – Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.
Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.
Share:

Mwanamke kuwa mbunifu kuyanogesha mapenzi kwa mwenzi wako kwa kumtimizia haya;





Ndoa au Mapenzi ni tamko takatifu ambalo mamilioni ya watu tumejiingiza wenyewe kwa hiari.
Hii ina maana kwamba umepata mtu wa kuishi na wewe katika raha na shida zote hadi kifo.



Unakuwa umeingia katika kifungo cha Kupendana, kuheshimiana na urafiki, hata hivyo jinsi miaka inavyoenda unaweza kujikuta unapoteza umuhimu wa huu uhusiano na mbaya zaidi unaweza kujikutana unajisahau nini unahitaji kutoka kwa mwenzako.


Kuna mambo ya msingi ambayo mwanaume yeyote huhitaji kupata kutoka kwa mke wake mpenzi na kinachotakiwa kwa mwanamke ni yeye kufahamu nini mwanaume anahitaji na kuwekeza kidogokidogo kwa kuongeza jitihada na muda ili haya mahitaji kuwa kitu halisi.






Je ni Vitu gani mwanaume huhitaji sana kutoka kwa mke wake?

1.WANAUME HUPENDA KILE KILICHOKO AKILINI MWA MWANAMKE.

Wanawake ni viumbe tofauti sana (complex) wao ni walezi kwa asili, waumbaji wa vitu, wasimamizi wazuri na wabunifu sana.
Wanaweza kwa urahisi sana kuelezea kitu kilichopo kwenye akili zao likija suala la deal lolote la biashara kama kununua au kuuza.
Wanaweza sana kwenye mambo ya design na hata mawasiliano.
Ila likija suala mwanaume hapo ndiyo kuna tofauti.
Wanaume kawaida tunapenda kujua kwamba tumetimiza mahitaji ya wake zetu na itakuwa vizuri sana kama mwanamke atawezesha mwanaume kujua kwamba mahitaji yake kama mwanamke mume anayatimiza.
Kwa hiyo mwanamke ongea nini unahitaji, au nini unapenda kwa maneno au kwa matendo kwani kununa si jawabu au kubaki kimya si jawabu.
Jawabu ni kuelezana tena kwa upole na upendo jambo lolote unahitaji mwanaume afanye.








2.WANAUME UHITAJI MWANAMKE ANAEJUA KUKUBALIANA/KUAFIKIANA.






Je kama mume wako anapenda kuangalia au kucheza soccer siku za weekend kwa ajili ya kujiliwaza huwezi kuwa naye?
Kuna ubaya gani wewe kushangilia kile mume wako anapenda (hobbies)
Kumbuka maisha ndivyo yalivyo msipofurahi pamoja na kuwa na fun pamoja usitegemee siku mambo yabadilike yenyewe tu kuna kitu unahitaji kufanya sasa ili kesho iwezekane.






Penda kufanya pamoja kile kitu mume wako anakipenda katika maisha inaweza kuwa ni kuimba, jogging, kwenda kutembea sehemu yoyote ili pamoja au matamasha na michezo mbalimbali.
Kumbuka unaweza kuwa wewe hupendi kwenda naye huko yeye anapenda kwenda, lakini kuna wanawake wanafurahi kuwa naye huko wewe umekataa kwenda na hana njia kwani ni kitu anakipenda na ni sehemu ya maisha yake (kama hatendi dhambi).






3.WANAUME UHITAJI MWANAMKE ANAEJUA MAMBO.






Huwezi kutenganisha habari za siasa, michezo, biashara, current news, sayansi na mambo ya kimataifa na mwanaume, hivyo usijiweke nyuma sana unahitaji kuwa mtu wa karibu kupiga naye story za mambo kama hayo, jitahidi na wewe kuwa wamo.






Inawezekana jioni kabla ya kulala mkawa na glass ya juice mnakunywa wawili huku watoto wamelala, wewe mwanamke kwa ujasiri shusha story za michezo mambo ya Chelsea, Manchester united, Liverpool au hata Yanga na Simba just for fun, au hata habari za mafisadi au hata habari za mfalme Suleiman au Daudi au business ambazo umezitafiti hapo mwanaume atajua nina mke ndani ya nyumba.






Wapo wanawake mume akianza kuongea habari za siasa, michezo au business anaondoka zake na kumwacha naamini wanaume hapo huwa hawafurahii kabisa.
Nakwambia ukijua kuongea na mumeo mambo ambayo wanaume wote wanayapenda utafahamu mambo mengi sana kuhusu ulimwengu, watu na ninyi wenyewe.
Pia unaweza kubadilisha akili katika kufahamu mambo.
Hii huimarisha sana ukaribu na hamasa ya kila mmoja kutaka kusikia kwa mwenzake na matokeo yake ndoa inakuwa tamu maana huo usiku mkimaliza story lazima chumbani kuwake moto.






4.MWANAUME ANAHITAJI MWANAMKE AMBAE KWA MAPENZI NI MOTO.






Huwa kuna kawaida kwamba mwanaume katika jamii zetu za kiafrika ndiyo anakuwa mwamuzi wa mambo mengi kiasi kwamba hata wanawake wenyewe hutambiana kwamba jana mume wangu alinipeleka dinner sehemu.
Je, itakuwaje kama na wewe mwanamke siku ukamwambia mume wako leo pamoja na watoto tunaenda lunch sehemu au dinner sehemu kula, au kula kitimoto na nk pamoja na watoto wenu kwa hela yako au bajeti yako au maamuzi yako.
Wakati huo huo umetinga kiwalo chako cha nguvu hadi unamkumbushia zile enzi zenu ambazo zilifanya avutiwe na wewe hadi kukuoa.






Wanaume wanahitaji wanawake wa aina hiyo ambao siku zingine wanafanya vitu vya kuwatamanisha angalau hata kwa mwaka mara moja siyo mwaka mzima hujafanya jambo lolote la kuimarisha mapenzi.






Wanaume wanahitaji mwenzi siyo mtu wa kuishi naye chumba kimoja
Kuagana asubuhi na kuja kukutana jioni bila kuongea chochote mchana mzima ni dalili ya uhusiano usio na afya kabisa.
Jaribu kufikiri mwenyewe hivi ukiondoka asubuhi unawasiliana na mumeo mara ngapi?
Siku hizi karibu kila mtu ana simu ya mkononi, unaweza kutuma sms, au kumpigia just to say hi honey! Mbona wakati wachumba sms zilikuwa zinatumwa hadi vidole vikaota sugu, leo kunani?






Hamu na msukumo alionao mmoja kwa mwenzake ni msingi wa kuonesha afya na mahusuano yenye furaha.
Wakati mwingine mahusiano huenda bila mawasiliana ya mara kwa mara lakini hiyo ni sumu kubwa sana kwani inaweza kufikia kipindi hakuna hata kutakana, hamu ya kila mtu kwa mwenzake hupotea na hapo ndipo watu sasa huanza kuishi kama vile watu tofauti walioamu kuishi nyumba moja na chumba kimoja lakini ule moto umetoweka.






Kwa hiyo kama wewe ni mwanamke hakikisha unakuwepo katika mahusiano kwa maana kwamba unahitaji kumtia moyo mumeo, kumuinua pale anapokata tamaa uliza nini kinaendelea asubuhi, mchana, jioni na usiku, pia akifanya kitu kizuri mpe sifa na hongera.
Jifunze kwa busara na hekima kujua nini kinaendelea katika maisha ya mume wako na pia onesha kwamba unamjali sana (care) na kwa njia hiyo automatically atakupenda zaidi na ndoa yenu itakuwa imara zadi.






5.MWANAUME ANAHITAJI MWANAMKE HURU.






Ni kweli kila mmoja anamuhitaji mwenzake ili maisha yakamilike lakini kuna wakati mwanaume anahitaji kuona ana mke ambaye anaweza kuendesha mambo mwenyewe bila kushikwa mkono kwa kila kitu.
Pia wewe mwanamke usije mwambia mume wako sikuhitaji kwa sababu naweza kufanya mambo yote mwenywe hapo litakuwa zogo la ajabu.






Hapa nazungumzia ule uwezo wa mwanamke kuweza kuendesha mambo au familia hata kama mume hayupo. Tunajua sana wanawake mnaweza mambo mengi hata kuliko sisi wanaume ila kuna wanawake ambao bila mwanaume hawezi kufanya jambo lolote kiasi ambacho mume naye akajisikia kweli nina mke anayeweza.
Pia mwanamke hahitaji kuwa mtu wa kulaumu kila kitu, mtu wa kulalamika kila kitu, leo ukilalamika hiki kesho unaanza kingine na wakati mwingine unasingizia kwamba unaumwa wakati huumwi lengo kuuchanganya mwanume, hapo ujue unaipeleka ndoa au Penzi lako eneo hatari wanaume hawaipendi hiyo, wanapenda mwanamke asiye na malalamiko au lawama au msumbufu.


6.MWANAUME ANAHITAJI MWANAMKE ANAYEAMINIKA.

Bila kuaminiana, lazi kutuhumiana kunafuata na bila kuaminiana mahusiano hayawezi kuwa imara.
Mwanaume anahitaji mwanamke anayemwamini hasa pale anapokuwa hayupo.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwaminifu huko kazini, mwanamke mwaminifu sokoni anakoenda, mwanamke mwaminifu mahali popote akiwa peke yake.
Kuwa mkweli ndiyo njia nzuri ya kujenga uaminifu, kiwe kitu kidogo au kikubwa ni muhimu kuwa mkweli na mwaminifu kwa mume wako.






Kumbuka ukidanganya kitu kimoja unahitaji kudanganya mara kumi na tano zaidi ili kufunika huo wongo kuwa ukweli hata hivyo ipo siku mambo yatagoma na mambo yakigoma utakuwa umepoteza uaminifu, na ukipoteza uaminifu ni kama kuyeyuka kwa barafu huwezi kurudisha.






Wakati mwingine kuwa mkweli na mwaminifu huonekana ngumu lakini ndiyo dawa halisi ya kuimarisha mahusiano ya ndoa yako, hata kama umenunua kitu kwa gharama sana huko dukani au sokoni mwambie ukweli bei halisi usiseme bei tofauti na ile umenunulia.
Kitu cha msingi, jaribu kufikiria kile unafanya je na wewe ungefanyiwa ungekubali? Au ungeridhilka?
Kazi kwako.






7.MWANAUME ANAHITAJI KUONA UNAVYOFANYA KTK MALEZI.






Wakati mwanamke anapochukua jukumu la kuwa mlezi katika familia mwanaume hujisikia raha sana.
Kile kitendo cha kuwasaidia watoto kama vile kufanya nao homework walizopewa shuleni, au kucheza pamoja kama vile soccer na mtoto wa miaka 4 au 5, mwanaume hujisikia raha sana kwa namna ambayo mwanamke anajibidiha kulea kile ambacho kwa pamoja mmekileta duniani.






Kama una watoto au bado kitu cha msingi lazima ujue kwamba mwanaume hujisikia vizuri sana pale unapohusika bega kwa bega kusimamia malezi ya hawa viumbe ambao mmepewa zawadi hapa duniani.
Kwa jamii zetu za kiafrika hili halina shida sana ingawa kwa huku Marekani na Canada ni kitu cha kawaida mwanaume kuachiwa kazi zote za malezi ya watoto na mwanamke akawa anakuangalia tu.






8.MWANAUME ANAHITAJI UWE RAFIKI YAKE MKUU DUNIANI.






Kama umewakuta mume na mke wakitembea wameshikana mikono naamini huwa unapata ujumbe kwamba na wewe unapenda kuwa na mume wa uhusiano wa aina hii.
(Sizungumzii wale wanafiki ambao chumbani wanazipiga na barabarani wameshikana mikono)
Binadamu ameumbwa kuwa muhitaji kwa kupendwa, muhitaji wa kuwa na rafiki kuwa na mwezi (companion) kuondoa upweke
(duniani wawili wawili mume na mke)
Mnahitaji kuwa mke na mume, lakini mnahitaji pia kuwa marafiki wakubwa siku zote.






Tunatumia muda mwingi sana kuwa na mke au mume hivyo ili kunogesha zaidi inabidi kuwa marafiki na kupeana story, michapo, kuchezezeana, kutaniana, kutembea sehemu pamoja, kucheka pamoja, kucheza michezo tunapenda pamoja, kujaribu vitu vipya pamoja.
Pia ni muhimu kuwa na marafiki wengine ila urafiki lazima uanze na ninyi wawili.






9.MWANAUME ANAHITAJI MWANAMKE MALAIKA WAKIWA SEBULENI NA MWANAMKE MTUNDU WAKIWA CHUMBANI.






Wanaume wanahitaji hot, tendo la ndoa ambalo linaleta msisimko, linalofurahisha na kutia hamasa mpya kila siku.
Jaribu vitu vipya, mikao, miguso, busu, na michezo ya kitandani au chochote umejifunza, acha woga kwamba atakuuliza nani kakufundisha, dunia ya leo tunaishi dunia ambayo wanaaiita information society, hivyo watu tunapashana habari na kufundishana kupitia magazeti, radio, TV, movie, internet nk.

Usiache kufanya kitu kipya huko chumbani eti kuogopa atakuuliza umejifunza wapi.
Kazi kubwa kwako ni kuhakikisha kitanda kinakuwa moto siku zote na pia kumpa vitu vya uhakika ili asitembeze macho nje kutokana na kuwa bored na mapishi ya aina hiyohiyo miaka nenda tudi.
Ni kweli kama umri umekwenda sana hamwezi kufanya kama ile miaka ya nyuma lakini isiwe sababu ya kutokuwa na sex yenye kuridhisha na mwanamke kuwa moto kitandani.


Miili yetu ni hekalu la Mungu la ajabu na la aina yake hapa duniani.
Mwili ni laini, una harufu nzuri, ukiguswa unapata raha ya ajabu, hivyo kama mwanamke unahitaji kujiweka safi na Tendo muda wote bila kujali umri.
Kitu cha msingi ni kwamba mume wako anakuhitaji wewe, anahitaji ladha mpya na utamu kila siku kutoka kwako iwe ni kukugusa kwa mikono yake, au kukuangalia kwa macho yake au kukunusua mwili wako kwa pua yake au kukusikia unaongea maneno matamu kwa masikio yake na kukuonja mwili wako kwa ulimi wake.
Ni kweli anakuhitaji wewe na si mwingine na kwa kuwa anakuhitaji wewe basi
Mpe raha


Mwisho
Kuna mambo ya msingi ambayo mwanaume anahitaji kwako na kuna kitu anataka kwako, kuna mambo mengi sana mwanaume anahitaji kwako kitu cha msingi timiza hizi ndoto kwa kuzifanyia kazi.
Kama utakuwa ni mtu unayekuwa mbunifu na mwenye kufanya mambo tofauti bila mazoea basi uhusiano wako na umpendaye utakuwa imara na mzuri kila iitwapo leo
Share:

Namna bora zaidi ya kumchangamsha na kumfurahisha mwanamke

img_20190921_163954_029475950738

Ni kitu gani hasa kinamfurahisha mwanamke? Hauwezi kumfurahisha mwanamke kwa kumkejeli au kumshika baadhi ya maeneo ya mwili wake(utaishia kumchukiza na kujiondolea point).

Utajua unamfurahisha mwanamke pale tu unapomfanya ajisikie furaha, na wakati mwingine hushindwa kujizuia na hujikuta anakukiss!.

Ntakupa mambo matano ya kufanya ambayo yakuufurahisha moyo wa msichana unayemtaka(kumpenda).

Unaweza kubadilisha muonekano wako kimavazi, wakati mwingine unaweza kumkazia macho lakini hiyo haitamfurahisha bali itamtisha.

Kumchangamsha/kumfurahisha mwanamke kunahitaji kutengeneza mvuto(impression) zaidi ya muonekano na swaga.

Kama unataka kujua jinsi ya kumfurahisha mwanamke , mwanzo wa yote, huanza na maongezi. Na mwisho wa yote ni hapo pia.

Mawasiliano mazuri kimaongezi ndiyo njia pekee ya kumfurahisha na kumchangamsha msichana.

Yatumie haya mambo matano, na utafanikiwa hata kabla ya kufikia mwihso:

1. Mshawishi kupitia kitu anachokipenda
Unaweza kudahani hii haina umuhimu. Wanaume wengi hufikiri hivyo na hushangaa kwanini tu niongee kuhusu kitu ambacho msichana anakipenda. Kwanini wasichana nao wasiongee kuhusu vitu wanavyovipenda wanaume?

Wanawake huweza kufanya hivyo, japo hatujui. Wanawake wengi hujitahidi sana kujua wavulana hupenda kuongelea nini. Lakini, wakati unataka kumvutia msichana, ni muhimu ukajua ni kitu gani kinachoendelea kwenye mawazo yake. Sasa tambua kwamba, kujua kitu msichana anachokipenda haimaanishi, dhahabu, mitindo au vipodozi. Tofauti kati ya msichana na mvulana kwa namna ya kuishi imepungua sana kwa sasa(wanawake hufanya vingi ambavyo wanaume hufanya). Kwa maana hiyo ni rahisi kuwa na maongezi yenye kuvutia bila kuboa. Achana na mambo ya mahesabu, michezo, teknolojia, amini yatakua poa tu maongezi yenu.

2. Mtanie
Unapoongea na msichana, ni rahisi sana kumfanya na yeye aongee na wewe hatakama hakupenda mwanzo. Lakini hiyo haitoshi. Kama unataka kujua ni jisi gani ya kuongea na msichana/mwanamke, utapaswa kumfanya yeye ajisikie huru na mwenye kujiamini(confortable), lakini pia mfanye ajue kuwa unampenda hatakama haujamwambia.

Kumbuka, kama utaongea nae kama rafiki, lazima awaze na ajue kuwa wewe ni mwanaume noma sana(great guy), lakini hatahisi kwamba wewe ni mwanaume unaeweza kumchangamsha au kumfurahisha. Ili kuonekana kama mwanaume anayefurahisha kwa mwanamke yeyote, inatakiwa akuone kama mtu muhimu wa kukutana nae, na ili kufanya hivyo, msukume sukume hata bega katikati ya maongezi. Lakini usizidishe sana utaishia kumboa, fanya hivyo pale tu anapoongea jambo linalochekesha au lenye utani ndani yake.

Ila usiende na kumwambia maneno ya kawaida kama “unamuonekano mzuri”, “wewe ni mzuri sana”, au maneno yenye kufanana na hayo. Inawakera sana na haioneshi utofauti na watu wengine wa mtaani. Badala yake, jaribu kuwa specific wakati unamuambia jambo fulani mnapokutana. Mwambie maneno kama “umependeza sana leo. Huo ni mtindo mpya wa nywele?”, Hayo ni maneno mazuri sana kwa mwanamke kwa sababu ni wanaume wachache sana huyatumia kwao. Kwa hiyo unavyosema “leo umekua mrembo zaidi” inamfanya ajue ni jinsi gani unamaanisha mpaka umevunja ukimya.

Kwa kumtania huko – unaweza kufanya mambo matatu. Unaweza kumshtua na kumfanya atabasamu. Unaweza kumfanya ajue kwamba wewe unamuona mtu wa tofauti sana. Au tatu, unaweza kumfanya atambue kwamba umemwona wa kuvutia sana. Kumbuka hayo yote unamfanya yeye aone ni mtu mzuri ambaye anaweza kudate na wewe.

3. Kuwa mcheshi(be funny).
Baada ya kumfanya atabasamu na kuyafurahia maongezi yako na yeye, ni muda wa kumuingia ndani zaidi kidogo. Kila mmoja wetu anamambo yake ya siri ambayo hatupendi watu wote wajue labda mtu ambaye tunamwamini sana. Ili kumfanya ajiamini kwako, unatakiwa kumfanya awe na good time sana na wewe. Sasa hatuwezi kukuambia kabisa jinsi ya kumfanya mwanamke acheke. Lakini tunaweza kukupa mambo mawili ya kutumia. Usimwambie utani wowote wakati unaongea nae. Kuwa mwenye furaha muda wote unaoongea nae.

Hii inaweza kukutatiza kidogo. Kwanza kuongea utani wa moja kwa moja kama mtu aliyekariri ni ujinga. Badala yake, ongea nae maongezi yatakayomfanya aone unamtania, na hapo naye ataanza utani.

Jitahidi kuonesha unafurahia maongezi wakati unaongea nae kama unataka kumchangamsha. Ukiwa na furaha, dunia nzima inatabasamu pamoja nawe!. Kama unatabasamu na kujisikia furaha, naye atatabasamu pia na kuwa na furaha. Lakini kama unauoga, utamfanya naye awe
mwoga(unconfortable).

4. Unaweza kumsukuma kidogo kati kati ya maongezi
Najua unaelewa ninaposema kusukumana, hii utokea mara nyingi pale mvulana na msichana wanapukua wamezoeana, kwa hiyo kuifanya na mwanamke kwa mara ya kwanza inatakiwa uwe mwangalifu na makini ili usije kuharibu. Unapofanikiwa kufanya hivyo, jitahidi isiwe kila saa maana utamkera kama nilivyosema hapo awali.

Ili uweze kufanya hivyo inatakiwa uwe wa kawaida – chukulia kama ni mtu wa kawaida japo wewe unajua ni special. Muulize alifanya nini weekend au baada ya kutoka kazini, muulize anapenda kwenda wapi akitoka out au ni mgahawa gani anaupenda au anatamani kwenda au kitu kingine chochote ambacho ni binafsi(very personal). Lazima atajua wewe unamtania mana hakuna mtu ambaye anaweza kuulizwa maswali yote hayo na hajazoea kuulizwa, hivyo lazima afunguke.
Na bila kusitaa, usisahau kuuliza hili swali.

“Hey, samahani hii ni very personal – hivi una boyfriend? Kama unaye basi jua moyo wangu utavunjika vipisivipisi zaidi ya millioni hamsini sasa hivi!”, umeona ilivyo ya kichokozi eeh?. Lakini hii hufanya maajabu!.

Lazima acheke, lakini hiyo sentensi itaweka lengo lako kwake moja kwa moja, na lazima atajua kuwa unamtaka–hahahah!. Lakini angalia usiharibu kwa kuwa kituko baada ya kukupa jibu – maana unaweza kuta anaye, na kama atakwambia anaye tabasamu. Na ongelea mada nyingine tofauti kama vile swali lililopita halikumaanisha kitu kwako. Lengo lake lazima atakuwa ashalijua, na pia utafanikiwa kumfanya awe confortable kwako.

5. Mshike.
Huu ni uwanja hatari sana, lakini ni kitu unachopaswa kujifunza kwa sababu unataka kujua jinsi ya kumchangamsha msichana, si ndiyo? Hivyo kumshika katika muda muafaka inakamilisha point ya 5 ya mambo ambayo unapaswa kuyajua wakati unataka kumfurahisha mwanamke. Kama utafanikiwa kulifanya hili kwa usahihi, utakua umejichukulia point kubwa sana.

Sasa kumshika msichana ni kama kucheza na moto. Ukiushika fasta hauwezi kusikia joto, lakini ukiushika muda mrefu utaungua! Unaona ilivyo hatari?
Unaweza kumshika bega au mikono kama tayari ushamfurahisha vya kutosha. Lakini kumbuka hili, mshike tu pale unapokua na sababu ya kumshika, mfano mshike masikio kama unayasifia masikio yake au nywele kama unazisifia nywele zake, au mfute koti lake kama kuna kauchafu hatakama hana hako kauchafu, au mshike begani kama unatembea nae barabarani/ mtaani. Kumbuka kumshika mtu ni very personal, hivyo inabidi uwe makini sana na uangalie anamuitikio gani wakati unamshika kabla haujamshika tena.

Kama unataka kujua jinsi ya kumchangamsha msichana, yatumie haya mambo matano wakati utakapokutana na mwanamke next time. Na baada ya hapo utaona ni jinsi gani unavyoweza kumfurahisha mwanamke na kumfanya ayapende maongezi yako kwa mara ya kwanza!.
Share:

Maujanja ya kunogesha mapenzi yako hapa!!

68959725_355901458621875_2268153201004206438_n1321759107
Maisha ya kimapenzi kila ikiitwa leo yanazidi kubadilika ujuzi uliokuwa nao jana yawezekana wazi kabisa leo sio ujuzi kabisa ila ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya watu sasa chukua mda mfupi kusoma makala hii utajifunza kitu

MMMH mshaanza eti nimeisha ingia mama Chaunabe kitanga na njia nisiye na bleki kwenye domo langu, wahenga wanasema kinywa cha mkubwa kinanuka lakini maneno hayanuki. Najua maneno yangu ya shombo huenda hayakufurahishi wewe ambaye kila kukicha unabadili wanaume na kuonekana una hila. 

Shutuuu dada mwanamke tabia babu wee, mwanamke kujua mumeo anataka nini, mwanamke kujituma kwenye kiwanja kifupi cha sita kwa sita.
Unasahau cha kumvutia mwanaume unakimbilia kuukoboa mwili nani kakuambia weupe mali? Basi mkaa usinge nununuliwa! 
Tena leo nakazi na wewe, nani kakuambia weusi ni laana. Basi leo nataka nikuambie wewe usiye na haya uliyemaliza vipodozi mwisho wa siku uso unakuparama kama mchawi mzee, unalo hilo?
Siri ya weusi maana yake ni utamu hata zambarau tamu ni nyeusi, zabibu tamu ni nyeusi na hata usingizi mtamu unapatikana usiku mweusi. Huoni Mzungu akimuonja mswahili anachanganyikiwa.
Wewe unajikoboa Mzungu ajipake masizi? Acha ubwege. Nimejikuta hata nikisahau kuelezea nilichokikusudia kwa ajili ya malimbukeni wachache, jivunie weusi wako babu wewe. Tuachane na hayo ambayo kwa kiasi nimejikuta nikipandwa na mzuka na kuingia kwenye mada nyingine. Kama unabisha mwangalie jirani yako anayetumia mkorogo ngozi kama kuku wa mayai aliyezeeka
Share:

Namna sahihi ya kuepukana na wivu kwenye mapenzi***







Wivu ni chachandu, vilevile ni kionjo cha mapenzi. Wakati mwingine ni sumu ya uhusiano, hali kadhalika hutokea kuwa kikwazo cha penzi endelevu. Ni vizuri kulitambua hilo ili ujue jinsi ya kuishi kwa kuendana na mazingira yanayofaa.


Mtu mwenye mafanikio kwenye mapenzi ni yule anayeamini katika saikolojia ya kujitambua. Hapa nikupe msisitizo kuwa ni lazima ujitambue ili uweze kuwa bora kwenye mapenzi. Kama hujitambui, maana yake hutajua ulitendalo.



Ikiwa utashindwa kujua ulitendalo, wewe utageuka kuwa kero kwa mwenzi wako. Ukifikia hatua hiyo, unadhani ni nani anaweza kukuelewa? Ni vema ujijue, ujifahamu kasoro na uimara wako katika uhusiano wako. Kama unamfurahisha au kumchukiza, yote yanafaa kugota ndani ya kichwa chako.



Je, una wivu? Hilo unapaswa kulitambua kwa sababu lipo ndani yako. Bahati mbaya ni kwamba watu wanakuwa na wivu wa kupitiliza lakini wakiambiwa wanakuwa wakali. Wanadai wanasingiziwa.



Ni vizuri ukatambua upungufu ulionao kabla ya kuelezwa na mtu wa pili.






Wivu wako umekugharimu mara ngapi? Makala haya yanatosha kuwa tiba yako ya kudumu. Pengine hujawahi kukaa, ukatafakari na kugundua kuwa wivu wako unakupeleka njia isiyo sahihi kimapenzi, hapa chini kuna mambo ambayo ni muongozo madhubuti.

Jifunze kwa watu wengine.
Mara nyingine ni rahisi kugundua kuwa unafanya makosa baada ya kuwaona wengine na kujifunza kutoka kwao. Hivyo basi, jaribu kuwaangalia watu wengine walio kwenye uhusiano. Fuatilia mtindo wao wa maisha, mafanikio yao kisha ujitazame wewe.

Bila shaka hapo ulipo, utakuwa umeshawahi kujionea wanaume na wanawake wenye wivu, jinsi wanavyotenda mambo yao, wanavyoudhi na kuchukiza kwenye uhusiano. Kama ndivyo, basi hilo ni somo kwako kwa kuepuka yale yaliyowafanya wachukize.

Inawezekana ukawa umeona kupitia kwa macho yako au umesimuliwa. Muhimu kutambua ni kwamba hulka za wivu, hususani unapozionesha mbele za watu wa pembeni ni mbaya. Kwa mantiki hiyo, kama utaweza kutambua na kuelewa alama za wivu, sina shaka kuwa utakuwa unaweza kujua jinsi ya kuishi katika mazingira salama.

Mpe nafasi
Kumbana mwenzi wako haina maana ndiyo utamfanya adumishe uaminifu kati yenu. Jifanye kama mtu usiyejali, muache atoke na marafiki zake. Inaweza kuwa tatizo endapo ataona unamnyima uhuru anaoutaka. Anahitaji nafasi ya kufurahi na marafiki zake, unambana kwa nini?

Akilini kwako lazima ukubali kwamba mwenzi wako ni mtu mzima na anajitambua, kwa hiyo uhuru utakaompa, utawezesha yeye kujiamini zaidi na kuheshimu uaminifu wako kwake. Kisaikolojia, mwenzi wako akigundua unamuamini, naye huzidisha upendo.

Vizuri pia kutambua kuwa wivu hukua zaidi pale mmoja anapokuwa na hisia kwamba mwenzi wake anasaliti. Kama upo kwenye uhusiano wenye afya, huhitaji kusumbuliwa na mawazo mabaya. Endapo utashindwa kuondoa wingu la shaka ndani yako, kaa ukijua kuwa unajiharibia.

Ongeza uaminifu. 
Mojawapo ya dawa nzuri ya kukabiliana na wivu ni kuongeza kiwango cha uaminifu. Muamini mwenzi wako na utaona jinsi mambo yatakavyokwenda. Tunza akilini kwamba kutengeneza uhusiano imara na wenye mafanikio, huhitaji kiwango kikubwa cha uaminifu.

Amini kuwa mwenzi wako atafanya mambo sahihi hata kama wewe hutakuwepo. Muamini kuwa anajitambua, kwa hiyo hatakuwa na muda mchafu wa kutenda maovu kwa kigezo kwamba haupo. Ana akili timamu, akiamua kutenda ‘uwaluwalu’, hashindwi hata kama utakuwepo.

Kwa kawaida, anaweza kuwepo mtu ambaye atakufanya usimuamini mwenzi wako hata kidogo. Inawezekana akakujengea picha kutokana na maneno ya zamani au matukio yaliyopita. Je, unaona wivu kwa sababu umeambiwa mpenzi wako aliwahi kutoka na watu wawili tofauti kabla yako?

Wivu wa nini? Kwa nini maneno hayo yakuchanganye akili? Je, ulimkuta akiwa mbumbumbu wa mapenzi na hajawahi kutoka na yeyote? Kumbe utabaini kuwa historia ya mwenzi wako haina maana inayokubalika kwenye uhusiano endelevu.

Wanasema shetani wa jana, leo anaweza kuwa malaika. Vilevile malaika wa leo kesho anaweza kuwa shetani. Inawezekana hao ulioambiwa alitoka nao walimtenda ndiyo maana hakuwapa nafasi ya kudumu lakini wewe umepata fursa hiyo kwa sababu unakidhi mahitaji yake.
Share:

Utundu kwenye mapenzi ndio silaha salama ya kulilinda penzi kwa mpenzi wako




Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!…Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha.
Wanaume wengi huwa hawana maandalizi mazuri kwa wanawake wao kabla ya tendo la ndoa yanayoweza kuwasaidia kama kichochezi cha kuwafikisha kileleni mapema.

Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo.

1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi

Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi

Tumia ulimi wako ipasavyo kutomasa kitovu chake

Mnyonye lita kadhaa za mate na huku ukitumia ulimi wako ipasavyo kuuchanganya ulimi wake

Papasa matiti yake huku ukifinya finya chuchu zake na peleka mdomo wako huku ukinyonya kama mtoto

Zungusha viganja vyako karibu kila kona ya mwili wake bila kusahau kubinya binya sehemu za mbavu hips na makalio yake

Chezea ki**mi chake kwa vidole vyako au kwa ulimi ikiwezekana

Mpe koni ya asili ajilambie kwa raha zake

Muweke mkao mzuri wa kupokea zawadi yake

Ingiza taratibu mti shimoni

Hata kama huna uwezo wa kumfkisha kileleni hiyo dozi itakusaidia vilivyo.

Naamini kama utayafanyia kazi ipasavyo tatizo la kumridhisha mwanamke litapungua.. ZINGATIA yafuatayo;

Maandalizi kwanza:

Tumia muda wa kutosha mwanzoni, wanawake wanapenda kuingiliwa taratibu bila pupa. Mbusu, mfanyie masaji na mchezee kwa muda, huku ukim non’goneza maneno machafu masikioni, na tumia mda kumpapasa sehemu nyeti. Anahitaji kuloana hatakabla hujamvua nguo.

Mtafutie Style anayoipenda:

Najua wengi mnapenda ile ya kumweka juu huku ukimshika matiti yake na makalio. Itunze hiyo utaitumia badae, mwanzoni jaribu kutafuta style ambayo ina mchanganya na kumfurahisha yeye kwanza, kama vipi muulize kwanzakwanza, kama vipi muulize kwanza
Share:

SMS ZA KIMAHABA ZA KUMLIWAZA NA KUMFURAHISHA MWENZI WAKO


Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?
Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,
ndugu zako wanaotugombanisha 
na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.
Mapenzi yetu yadumu daima.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
“Umbali si shari ila kujua hali ni mali”,
“jambo la wema ni asali ukimya ni ajali”,
“japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali”
I LOVE U
……………………………….
Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda
jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea
nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION
atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE
kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX .
Nafikir ushamjua kwan shep yake
ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!!
Chezea
…………………………..
Katu si kila rafiki ni msafi
wa moyo. Wengine ni wanafiki
wanakuonea choyo. Hutamani
ufariki wachukuwe upendayo.
Hawa hawafadhiliki husda ni
kazi yao, kila unachomiliki
hutamani
kiwe chao. lau kama husadiki
jaribu kukaa nao.Mchana mwema.
……………………..
Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta
amechoka mpe “POLE” ukimkuta mpweke”MLIWAZE” ukimkuta
anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu “MTATULIE”
……………………….
Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
m?y?ni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea,
sijui ni nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea kumbuka nilikupenda
Share:

Mambo Ya Kufanya Ili Kurudiana na Mpenzi Mliyeachana

images%2B%252861%2529Watu wengi wanaachana na wapenzi wao kwa sababu mbali mbali lakini unafanya Nini pale unapoachana naye halafu ukaja kugundua kuwa bado unampenda? Jibu ni rahisi ni kumrudisha tu kwa njia yoyote.
Watu hawajui kumrudisha mpenzi mlioachana ni jambo rahisi sana kwa njia chache tu nitakazokufundisha leo basi unaweza ukamrudisha mpenzi aliyekuacha au uliyeachana naye.

Siku ya leo nitakufundisha njia kadhaa za kumrudisha mpenzi mliyeachana na kumtuliza mara baada ya kurudiana naye maana hiyo ndiyo kazi ngumu.Fuata Njia hizi ili Kumrudisha Ex wako Kwenye maisha yako:
1. Kata Njia Zote Za Mawasiliano NayeILi kumrudisha mpenzi wako Kwanza anatakiwa ajue ni kwa kiasi gani anakumiss na njia pekee ya kufanya hivyo ni kukata mawasiliano naye hii itasaidia kumpa muda wa kufikiria ni umuhimu gani unao Kwenye maisha yake.
2. Jaribu Kuwa Bize na Mambo YakoMuda wowote Mahusiano yakiisha kila mmoja anataka kujua ex wake anafanya nini na kama anaendelea na maisha hivyo ni muhimu kujikita katika mambo yako binafsi hii itakukosesha muda wa kuanza kumuwaza na kumtafuta Ex wako na endapo ataona unafanya mambo yako ya maendelo basi atavutiwa zaidi.
3. Muonyeshe  Anachokikosa Kutoka kwakoKama unataka kumrudisha Ex wako jaribu kumkumbusha sababu za kukupenda Mwanzoni ni muhimu kujua sababu za kuachana na kutumia zile sababu kujiboresha zaidi na kujionyesha kuwa umekuwa na kubadilika na kuwa endapo atakupa nafasi basi utakuwa tayari
.
Share:

Wanawake Wanaojiona Warembo Sana Uishia Kusimamia Harusi za Wenzao Wengi Hawaolewi

Nimeenda harusi nyingi wanawake wanaoolewa ni wale wa kawaida na wenye kujitambua,hawa wanaojiita warembo wengi wao hawaolewi na huishia kusimamia harusi za wanawake wenzao tu.
Pia wengi huishia kuwa nyumba ndogo,sababu kuu zinazofanya wasiolewe ni wengi wanakuwa wanataka kuishi maisha ya tamthilia za ng’ambo anataka mwanaume tajiri awe mtanashati sana.
Pia wanapenda sana matumizi makubwa story zake ni kuhusu matumizi ya hanasa,wanaume wengi ushtuka na kuishia ku hit na kusepa.
Hawaridhiki anakuwa anajiona mzuri sana hivyo mkikorofishana kidogo na akatongozwa nje basi uishia kwenda nje. Wengi huishia kutumiwa tu na kuachwa kwa sababu ya tabia zao na tamaa.
Share:

Hatua 10 Muhimu kupata Mwanamke yeyote Duniani

Saikolojia ina mambo mengi ambayo tukiyatumia vizuri katika maisha yetu inaweza kutusaidia kuepukana na mikanganyo katika mahusiano na maisha kwa ujumla. hizi ni baadhi ya hatua muhimu ikiwa umemwona msichana ukampenda na sasa unataka kuanzisha mahusiano naye.
HATUA 10 ZA KUANZA MAHUSIANO NA MSICHANA MZURI,MWENYE ELIMU,MWENYE KUJIHESHIMU NA MSTAARABU 
1. ikiwa kwa mara ya kwanza umeonana na msichana ukampenda na ukataka kuanza naye mahusiano.usikimbilie kumtongoza. mfahamu kwanza.hakikisha unachukua muda kufahamu anaishi wapi, anafanya kazi wapi,anasoma wapi au anafanya nini. wanaume wengi wanakosea siku ya kwanza tu anamwona msichana anaanza kushusha mistari.kwa msichana anayejielewa hawezi akakukubali.do your homework buddy.
2. ukishafahamu anapofanya kazi au anapoishi then jitahid angalau mara mbili tatu muonane.akuone ashike sura yako. kwa maana ya kwamba mara nyingine mkija kuonana awe anakumbuka kuwa mmeshawahi kutana before.kipindi chote cha kwanza ambacho unaonana naye unaweza ukawa unamsalimia tu au usimsalimie kabisa.ukawa tu mkimya lakini mpole na mstaarabu.siku hii ya tatu au nne msalimie tu basi. next time msalimie tena. another time jaribu kumsemesha kuhusu kazi na mpe pole.au jaribu kumuuliza kuhusu masomo n.k USIOMBE NAMBA YA SIMU KWANZA. then siku nyingine mkishafahamiana kama yupo kazini mpelekee kinywaji kizuri kama juice ya CERES etc. au Lunch nzuri kabisa from KFC etc.mwachie hapo usikae mwambie “nilikuwa napita tu nikakumbuka kukusalimia najua upo busy sana hii lunch usije ukapata ulcers bure” ondoka.
3. kwenye kuomba namba ya simu unapaswa uwe makini na maneno unayotumia ikiwa unamtongoza msichana anayejielewa. unaweza mwambia tena baada ya kuwa mmeshaongea na kubadilishana mawili matatu. “oohh sister i amm sorry kama hutojali naomba tubadilishane namba za simu maana siku zote hizi tunaongea tu hatuna mawasiliano.sisi binadamu you never know…”akikupa usimtafute siku hiyo..kam siku mbili hivi tulia tu.asione ulikuwa na munkari sana na namba yake. then siku moja mpigie tu kumsalimie “habari yako xxx…. za siku mbili tatu? upo? nmekukumbuka sana nikaona nikusalimie”. then muage.
4. siku nyingine mpelekee tena zawadi . wanawake wanapenda sana zawadi,na huu ndo uchawi kwa mwanamke unayependa na unamuhitaji.mpelekee zawadi.then mwachie ondoka. next day mpigie muulize huwa weekend anapendelea nini? kama anapenda movie,kwenda live band n.k tafuta sehemu tulivu mwuulize lini ana nafasi umpeleke. nenda naye sehemu tulivu.hakikisha kama una gari unamfungulia mlango na kufunga.kisha mfunge mkanda siku hiyo pulizia perfume flan tulivu sana unapofunga mkanda ni wazi utamgusa kidogo.then nenda naye unakoenda naye ukiongea naye taratibu sana huku ukimsoma anapenda maongezi gani. mpe nafasi azungumze ,then msikilize.
5. wakat wote huo hakikisha uwe unamwangalia kwa jicho la wizi..usimkodolee macho.mwangalie kwa wizi ila hakikisha naye anajua kuwa unamwangalia kwa wizi.mwangalie vidole vyake,miguu na usoni. ukirumdisha kwake/kwao mshukuru sana kwa jinsi alivyo na moyo wa ukarimu na mzuri.mwambie umebarikiwa kuwa na uzuri wote. mwache aende ndani wewe ondoka.
6. siku nyingine tena mtoe out anza kumwongelesha habari za mahusiano ujue naye yupoje.mchimbe vizuri kwa ustaarabu na taratibu.mweshimu mwoneshe thamani yake.then mkiachana baadaye mtumie text ya kumwish usiku mwema n.k asubuh muulize kama ameamka salama na mwish good day. then siku moja ukiwa umetoka naye mwambie “ xx naomba sana unisamehe kwa hili nitakalo kwambia ikiwa ntakukwaza.binafsi najikuta siku zinavyozidi kwenda nazidi kukupenda… nashindwa kujizuia kwa hali hii ninayokuwa nayo.nimejaribu sana kuificha lakini leo nimeona nisiendelee kuteseka moyoni, kiukweli najisikia amani na furaha ninapokuwa nawe.toka siku ya kwanza naona umeyabadilisha sana maisha yangu” ongea maneno haya ukimtimzama usoni au huku umeshika mkono yake taratibu.
7. siku hiyo usitake akupe jibu kama amaekubali au laah. akikupa shukuru akikwambia ngoja afikirie pia usikasirike na kum rush. ila mkirudi home kama una gari ukifika kwake simamisha gari kwanza then mtizame tu usoni.mwambie “sitamani uondoke xx wish tungeendelea kuwa wote zaidi na zaidi”chukua mkono wake ubusu. shuka mfungulie mlango mfungue mkanda ashuke.
8. akikwambia yeye ana mtu au hataki uhusiano kwa kipindi hicho .usikasirike.mwambie haina shida wewe bado moyo wako upo kwake so utaendelea kumpenda siku zote no matter what.usiache kufanya uliyokuwa unayafanya. wakati mwingine mwanamke anaweza asikupende mapema.ila usiache kuwa mwema… endelea kuwa mwema.mjali mpende mheshimu.unaweza kuta unajenga mapenzi kwake taratibu.kama ana mpenzi kuna siku watagombana na atakutafuta wewe umfariji… au kama hakuwa naye hisia zake kwako zitakua na siku moja atajikuta anakufikiria.
9. siku mkiwa pamoja sehemu “tulivu” amekuja kukutembelea mara nyingi kwako…kaa naye kwenye kochi weka movie ya mahaba but not ya porn.mkiwa mnaangalie kuwa naye karibu then unaweza mkiss mkononi. au shingoni. mshike kichwa chake mtizame usoni…. then ukiweza lengesha machozi usiseme kitu mtizame tu. mwambie “i wish you were mine” ngehakikisha una furaha sana hapa duniani.coz unastahili kuwa na furaha wakati wote” then mkiss kwenye lips,mkiss tena, na tena…huku ukimshika kiunoni na kumkiss shingoni ,nenda mdomoni mbebe taratibu mweke kwenye sofa..endelea kumkiss kila sehemu ukitafuta walipo waarabu wake.
10. usikimbilie ku make love naye kabla hujamwandaa.. mwandae sana then hapo ndo unaweza make naye love… taratibu sana huku ukiendelea kumkiss na kumsemesha ukimsifia.style ya kwanza itakuwa kifo cha mende kwa siku ya kwanza.au kwa mchezo wa kwanza kabla ya half time.mkimaliza endelea kumkumbatia.msafishe na mkiss n.k ndo tayati ameshakuwa mpenzi wako,mchumba na baadaye mke. 
Kwa msichana wa uswahilini, wa kiswahili, asiyependa Complications huhitaji hatua zoooooote hizo.
1. mfahamu jina na anapofanya kazi.nenda kazini kwake jioni moja au chuo anakosoma. msalimie mwambie umeshawah mowna sehem flani na wewe upo sehemu flani. kama hatojali mwombe umpeleke anakoishi..umpe lift kama huna gari chukua naye uber/bajaji. mwende wote ukamwache kwake. muulize kama hatojali akupatie namba ya simu ili uwe unampitia ukitoka kazini siku moja moja.
2. mpitie kwa weeke nzima. ukimpitia jioni hakikisha kwenye gari lako kuna biscuit au crisp za kwenye kopo n.k mwachie awe anatafuna tafuna. weekend mwuulize ana ratiba gani. mtoe anakotaka kwenda. mnyweshe sana..anywe hasa… then mwambie sasa muondoke. kama anaishi peke yake hana mtu kwake mwombe kuwa jinsi alivyolewa si vyema akalale kwake peke yake utaenda mpeleka kwako akapumzike.mpeleke kwako ..
3. mpeleke bafuni akaoge au mwogeshe… then mpeleke kitandani.. hapo unaweza endelea na mambo mengine hakikisha pia una condoma au mwandae kiasi cha kutosha.
Wale wanawake NYATUNYATU.
1. mwambie unatamani umle mzigo. atakutukana mwambie hayo matusi yake ndo unayapenda sana ila wewe unayataka yawe ya vitendo. mtumie 20,000 mwambie aweke voucher akutukane zaidi.
2. kesho yake mwambie unataka aje kwako umandalie nini au mwambie unataka umtoe out mwende sehemu tulivu.nenda naye hotelini au lodge ale anywe mwambie umechukua chumba mkanywee huko zaidi.then nenda naye huko kamkamue…. mpe 20,000 -30,000 za nauli. achana naye. AU wale macho Kumchuzi
1. Mwambie we hutaki kona kona .. unataka mapenzi kwake. wala huna sababu ya kumuuzia chai.so mnaweza onana wapi na pia umwandalie nauli kiasi gani na usumbufu maana unajua ana ratiba zake nyingi so unaheshimu ratiba zake.so si vizuri aje tu halafu aondoke hivi hivi so kwa ajili ya kumuomba msamaha umwandalie tsh ngapi.
NB: KEY KATIKA HAYA YOTE ni uvumilivu, ustaarabu na pi akujitoa. lazima kiasi flani mfuko utoboke… usiwe na mikono mikavu sana. lazima uwe na unyevu kiasi flani. mapenzi ni gharama. la msingi msome mtu unayemtaka. mfahamu yeye ni type gani. then nenda naye kama alivyo. vijana wengi wana haribu sababu ya haraka na kukosa subra. usimvamie mwanamke kama humfaham ni mtu wa namna gani.. atakuaibisha. hayo yote pia nawe jitizame ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kukufikiria? jiweke smart and gentle. tafuta mtu wa kuoa. 
Unaweza mwanamke ongezea unayoyapenda na pia mwanaume ukaongezea unayoona yanafaa ili kusaidiana kwenye kutafuta mke na mume anayefaa.
Share:

UNAMTONGOZA, Anasema Anakuchukulia Kama Rafiki, Unajua Kwanini?

“Hataki muwe zaidi ya hapo, anakuchukulia kama rafiki!”
Stori inakwenda hivi; baada ya kumwangalia kwa muda mrefu, huyumwanamke anambae anakuuwa pole pole kwa mvuto wake, ambae anakila kitu ambacho wewe macho yako kwako unaona ndo kile kinachoitwa na kutengeneza uzuri usiopimika, ubongo wako unaamini ya kuwa mnaendana kwa kila kitu ila kinachokuchanganya ni wewe kutokua na uhakika iwapo na wewe unampendeza yeye, Kijana wa watu unajituma na kupiga moyo konde, leo hii unajikaza kiume na kwenda kumwambia yale yote yaliyo moyoni mwako… mara… ‘kwaaa…’ anakujibu, “Oho, lakini mbona mie siku zote huwa nakuona na kukuchukulia kama rafiki, kama rafiki.. rafiki tu!”, moyo unapigwa na radi ya maumivu, na huamini kilichokupata, huku kichwani sauti ya “kama rafiki” ikijirudia rudia!.
Kama kungekua na kitu cha kuzuia hii dhihaka, ungetumia na kurudisha muda nyuma, kiume.com tumekusanya dalili zote za kuangalia kabla ya kupiga moyo kode na kwenda kumwambia yanayokusibu moyoni…
Anajiamini sana akiwa na wewe mpaka mazoea yake yamepitiliza…Msichana akiwa anajiamini sana kwako, ujue hapo umeshapoteza unachotamani na umeishia kunawa, kwa msichana akimuona mtu anayempenda kweli, utaona dalili…!, utaona hatulii, mara akae vizuri, na anakua anajihisi tu mda wote, atashika nywele zake kuangalia kama ziko vizuri, mapenzi asikuambie mtu kaka, mapenzi yanaleta kutokujiamini, na iwapo anajiamini sana kwako na ashtuki akikuona, wala atikisi hata ukucha basi hapo tafuta kitu kingine tu cha kufanya.
Anakupa hadithi za wanawake wengine… Msichana ambae yupo singo hana mpenzi, halafu ukiwa nae anakua anakupa stori za wasichana wengine, hapo anatumia janja ya nyani, hapo anakubadilisha akili usimwazie yeye na uwawazie hao wasichana wengine anaokupigisha stori, achana kabisa na haya maongezi, anaweza kukwambia.. “ooho, unaonaje nikikupigia pande kwa rafiki yangu Janeti, si ni mzuri eeh?”, kaka hapo unapoteza mda tu.
Hafanyi kile unachotaka…Ukiona msichana hasikilizi kile unachotaka, yeye siku nzima anakuomba umsaidie hichi, twende pale.., we ukimwambia ya kwako anaruka maili tisa, ujue hapa huna chako, we upo pale ili akutumie tu na kwa sababu hana hisia nawe hajiulizi hata huyu jamaa anajisikiaje!.
Anatukana bila kujari uwepo wako…Maneno anayotumia ni kama yupo namwanamke mwenzie, na wala hashituki!, kaka hapa umeshakwenda na maji, mapenzi yana heshima na anayekupenda huwa anashituka akiona tu uwepo wako, na aibu yake sikuzote hua ipo karibu.
Hataki kuonekana na wewe sehemu za wazi…Ukimwambia tutoke wote, anakua na visingizio. Ukimwambia twende wote nikusindikize uendako, hata kama ni sokoni… utamsikia “ohhoo, mi nilishazoea kutembea mwenyewe wakati wote, mama atanielewa vibaya”. Hapa ni kwamba anaogopa utamwalibia chansi ya kukutana na mwanaume wa ukweli achana na wewe masuruali tu, mama gani ambae hapendi mwanae aolewe?.
Anakuomba misaada mda wote…  Msichana mwenye hisia nawe hawezi kukuomba misaada ovyo hovyo, kwanza atakua hajiamini na hujiuliza maswali kama “Hivi atanionaje na atajifikiliaje nikimuomba hiki?”.
Anakufanya kama spea tairi…Siku akikubali kutoka mtoko nawe, utashangaa kaja na mashoga zake!, hii anakua anafahamu kabisa kwa hio anakua anajihami ili usije ukapata chansi ya kuwa wewe na yeye. Yeye saa zote ni vicheko tu…, kidogo tu mara anaenda chooni, mwisho wa siku mbaba unaagwa usiku umeingia sie tunaenda.
hafanyi michezo yeyote ya kuwa karibu nae…Mwanamke akikupenda anatamani saa zote awe karibu nawe, mara mjikute mmeshikana mikono mda mrefu mpaka jasho, sasa huyu yeye atakua anakulia taimingi, anakua anahakikisha hakuna mguso wa ajabu ajabu, kaka mguso huleta hisia, na kama hana hisia kwako hawezi kufanya hivyo.
Anaongea na wanaume wengine mbele yako…Hivi hili si linaonekana kabisa, hili halina haja hata la kuliongelea, ila mtu akiwa amependa inawezekana kabisa asilione hata hili, anakua anajipa matumaini hewa!, huku kichwani akilipa sababu nyingine kabisa, “Oooh yuko sosho sana!”.Kaka hapo kama msemo wa kiumeni.com usemavyo, “umeshaliwa kekundu”.
 Hakutambulishi kwa rafiki zake…Hana hisia nawe atakutambulisha kwa nini?, labda kwa sababu vocha zote zinatoka kwako!, samahani kwa kuongea hivi najua nakukera ila ndo ukweli wenyewe, na hata ukitambulishwa, utatambulishwa kama rafiki tu, na hivyo ndo utabaki kuwa.
Cha kufanya jiongeze, na hata kama yeye ndo huwa anakupigia simu au anakufata na anaonyesha hisia ujue kuna kitu zaidi ya wewe kinachoendelea kumweka kwako
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger