juu

Sunday, 26 January 2020

Jambo hili ni muhimu sana kwa wanandoa

Kama penzi ni kujitoa sadaka "sacrificing" basi wote mnapaswa  mjitoe sadaka kikamilifu. Kama penzi ni kuwa tayari kumfia mwenzako basi wote muwe tayari kuyatoa maisha yenu kwa ajili ya mwingine.Kama penzi ni kuhudumiana basi muwe tayari kuhudumiana. Sio mmoja anajitesa kila siku kwa ajili...
Share:

Mambo yatakayowasaidia kuweza kuboresha mahusiano ya kimapenzi

Bustani nzuri ili iweze kuzalisha kitu ambacho ni kizuri inategemeana sana na jinsi mmiliki wa bustani hiyo jinsi anavyoihudumua. Kama hutawekeza juhudi za kutosha katika kuhakikisha bustani inakuwa vizuri muda wote ni kwamba mimea ya bustani hiyo ni lazima itakufa tu hata iwaje.Kama ilivyo kwenye...
Share:

Meseji nzuri za kumtumia mpenzi wako ili azidi kukupenda zaidi

Wewe ni kila kitu kwangu. Nitateseka bila wewe. Ninataka nikwambie tu kuwa ninakuwaza muda wote. Ninatamani kuwa mikononi mwako muda wote. Ninakupenda zaidi ya unavyofikiria. Unafanya mapigo ya moyo wangu yaende mbio nikikuona. Najisikia vizuri mno nikikuwaza mpenzi. Ninajihisi salama nikiwa nawe. Nikiwa...
Share:

Mambo ambayo wanawake wanayahitaji kutoka kwa wanaume ila wanashindwa kusema

Kila mwanamke ana matarajio makubwa inapofika kwenye suala zima la mahusiano. Jamani wanawake tupende tusipende, kuna vitu tunatamani wanaume zetu watufanyie lakini tunashindwa kusema ukizingatia kuwa wanawake wengi tuna aibu na kushindwa kuzielezea hisia zetu za moyoni mara kwa mara.Wanawake hutamani...
Share:

Jifunze namna ya kumuacha mpenzi wako kistrabu

Inapofika mahali umemchoka mpenzi wako ni bora umwambie kwa maneno matupu tena ya bila kupindisha kwamba nimekuchoka sikutaki tena sitaki mahusiano na wewe tena nenda zako, ukieleza kifupi hivyo utaeleweka vizuri tu na kama huyo unaemwambia ana akili timamu wala hawezi kuendelea tena na mahusiano...
Share:

Tuesday, 21 January 2020

Upendo wa kimapenzi unahitaji mambo haya…

Asante sana kwa kuendelea kutembelea blog hii siku ya leo tunataka kuzungumza na wewe mambo muhimu yatakoyokufanya uweze kudumu katika mahusiano.,Ili uweze kudumu katika masuala ya mahusiano ya kimapenzi ni lazima ujue ya kwamba ipo haja ya kujua mambo haya yatakayokusaidia wewe kudumu katika mahusiao...
Share:

Upendo unahitaji mambo haya

Upendo unahitaji mambo yafuatayo ambayo ndio msingi wa upendo. Kuna vitu ambavyo upendo unahitaji;1. Tumaini (Hope) Upendo unahitaji Tumaini, kwa lugha ya Kiyunani ‘elpis’ lenye maana ya(a) Favourable(b) Confident, expectation2. Uvumilivu (patience)Upendo unahitaji uvumilivu kuvumiliana. Hakuna...
Share:

Jifunze namna ya kumuacha mpenzi wako kistrabu

Inapofika mahali umemchoka mpenzi wako ni bora umwambie kwa maneno matupu tena ya bila kupindisha kwamba nimekuchoka sikutaki tena sitaki mahusiano na wewe tena nenda zako, ukieleza kifupi hivyo utaeleweka vizuri tu na kama huyo unaemwambia ana akili timamu wala hawezi kuendelea tena na mahusiano...
Share:

Mambo ambayo wanawake wanayahitaji kutoka kwa wanaume ila wanashindwa kusema

Kila mwanamke ana matarajio makubwa inapofika kwenye suala zima la mahusiano. Jamani wanawake tupende tusipende, kuna vitu tunatamani wanaume zetu watufanyie lakini tunashindwa kusema ukizingatia kuwa wanawake wengi tuna aibu na kushindwa kuzielezea hisia zetu za moyoni mara kwa mara.Wanawake hutamani...
Share:

Wednesday, 15 January 2020

Huu Ndio Utundu Komesho Kwa Mwanamke Kitandani

Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!…Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa...
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © 2025 juu | Powered by Blogger