Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac
hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na
unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin.
Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa
ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.
Nakupenda kipenz cha moyo ...
Friday, 31 May 2019
KULA MKE WA MTU KWA STYLE HII NI MBAYA SANA

Wapo wanawake ambao wao wanajua kila siku ni Ijumaa, yaani hawatambui kwamba kuna Jumamosi na Jumapili pia. Watu hawa ni wale wanaodhani maisha ni raha tupu na kwamba wanaoishi kwenye shida ni wajinga.Ukweli hauko hivyo, maisha yana changamoto nyingi sana. Kuna siku mambo yanaweza kuwa si...
Fahamu Njia Adimu za Kumfanya Mwanamke Afike Kileleni Haraka

Kuna njia mbalimbali za kumuongezea wigo mwanamke kufika kileleni na kuna kitu kimoja wanawake wote husema, “Kufika kileleni huitaji utulivu wa akili na hisia “.
Kama ukimweka mwanamke kwenye mazingira mazuri kiakili na kihisia, kuna uwezekano mkubwa na mwili wake kufuata na kumfanya afike kileleni.
Japo...
HESHIMU SANA ULIPO, NI SALAMA KULIKO UENDAKO !

JUMATATU nyingine tunamshukuru Mungu kwa kuiona siku mpya ya leo! Kama ilivyo ada, tunakutana hapa kupaena darasa la mahusiano. Ndugu zangu maisha ya mahusiano yanahitaji faraja. Mahusiano yanahitaji utulivu; mioyo yenu itulie ili muweze kufanya mambo ya kimaendeleo. Wengi wamejikuta wakisuasua katika...
ASALI HAIONJWI KWA JIRANIj

Habari zenu, najua mtajiuliza kulikoni leo Nasra kaja hivi, ndiyo staili yangu babu wee tena unitue! Siwezi kuwa mchoyo kwa vile kufanikiwa kwenu ndiyo furaha yangu, binafsi huwa naumia sana pale ninapomuona mwanamke mwenzangu anakosa furaha katika ndoa kwa jambo ninaloweza kumsaidia ili akastarehe...
UTAMU: Hizi ndizo Sehemu za Kuleta Utamu Muapo Chumbani

Wapendi wengi au wanandoa wengi ndoa zetu zinafunjika ka sababu ya kutojua elimu ya mapenzi ndio maana kuna kuwa na usugu katika uhusiano sasa leo tuvunje ukimya kidogo tuanze na sehemu ya kwanza kabla ya kukimbilia kuvua chupi huku kwetu twaziita shupiKUKUMBATIA Mwili wa mwanamke ni nyetiti kwako...
Unajua Kwanini, Umemtongoza na Anasema Anakuchukulia Kama Rafiki?
"Hataki muwe zaidi ya hapo, anakuchukulia kama rafiki!"Stori inakwenda hivi; baada ya kumwangalia kwa muda mrefu, huyumwanamke anambae anakuuwa pole pole kwa mvuto wake, ambae anakila kitu ambacho wewe macho yako kwako unaona ndo kile kinachoitwa na kutengeneza uzuri usiopimika, ubongo wako unaamini...
Mfanye Aliyekuacha Akutamani tena kwa njia hizi.

Kumfanya mpenzi wako wa zamani kurudiana na wewe si jambo la rahisi kutimiza, haswa kama iwapo ameshachukua hatua ya kusahau yaliyopita na kupata mchumba mpya ambaye wanadate.jinsi ya kumvutia mpenzi wako wa zamani arudiane naweWakati mwingine, inafaa ujipende wewe mwenyewe zaidi ili kufanya mtu...
SMS-TAMU-MPYA-ZA-MAHABA

SMS ya kimahaba ya upendo ya kumtumia mpenzi wako anapoenda kwa mwingine
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwinginehasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.
🔥♥♥♥
SMS...
Maswali 20 ya SMS kufanya maongezi yako na mwanamke yaendee kunoga kwa masaa

1. Ni kitu gani ushawahi kufanya, lakini hautafanya tena?
Swali kama hili litamfanya kufikiria sana. Swali hili laweza kufanya ujue mambo yake ya chini ya maji zaidi. Mwanzo labda unaweza kugundua ya kuwa kuna mambo ambayo mnagawa pamoja.
🔥♥♥♥
2. Tabia gani ya ufidhuli ambayo uko...