juu

Friday 31 May 2019

Muda sahihi wa kuingiza uume wakati wa mavituzii



Kuingiliana kimwili Mwanaume anapaswa kuahkikisha amasa za mapenzi za mwanamke zimeamka kabla ya kumwingilia. Wanaume wengi kutokana na papara hujikuta wanawaingilia wenza wao hata kabla hawajahamasika na hatimaye kumaliza tendo pasipo kuwafikisha kileleni na hili ni tatizo la kawaida kwa wapenzi wanaokutana kwa mara ya kwanza na has amwanamke akiwa na zile nataka sitaki yani atasumbuana na mwanaume weeeee na hatimaye hadi dume lifanikiwe kumwingilia kimwili inakuwa kama mbakano tu!

Hivyo basi, mwanaume unapaswa kujua kweli mpenzi wako yuko tayari kwa tendo la ndoa na utajua kwa kungalia kwanza mashavu ya uke wake kama yamekakamaa na kuongezeka ukubwa huku kinembe chake kikionyesha kukaza na mwanamke akifikia hali hii basi mwanaume huweza kuingiza uuume wake ambao umesimama kiurahisi kwani kuta za uke zitakuwa na ute unaoteleza huku uume nao ukiwa na ute unaotoka sehemu ya mbele kabisa hali inayowafanya wapendanao kufurahia tendo kwani hawataumizana !.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger