juu

Friday 31 May 2019

UTAMU: Hizi ndizo Sehemu za Kuleta Utamu Muapo Chumbani

Wapendi wengi au wanandoa wengi ndoa zetu zinafunjika ka sababu ya kutojua elimu ya mapenzi ndio maana kuna kuwa na usugu katika uhusiano sasa leo tuvunje ukimya kidogo
tuanze na sehemu ya kwanza kabla ya kukimbilia kuvua chupi huku kwetu twaziita shupi


KUKUMBATIA Mwili wa mwanamke ni nyetiti kwako yaani mwili wote ni muhimu sana kukumbatia ni mwanzo wa safari ndefu ya kumfikisha mwanamke kileleni kwakuwa injini ya mwanamke inachukua muda mrefu sana kufika huko juu (kileleni-kupiz) kuna wakati ( si mara zote) mwanamke kufika kileleni ni hatua inayokwenda taratibu sana wakati anaendelea na tendo la ndoa na baada ya kufika katika ashki kubwa sana kwa hivyo kuuchomoa uume kutoka kwake kabla hajamaliza kunaletamaumivu makali sana kwake

wana sayansi wa mapendi wamegundua kuwa
kugusanisha ngozi ya kiume na ya kike kunaleta mabadiliko ya kikemikali katika ubongo na pia huimarisha afya ya mwanadamu katika ngozi ya mwanadamu kuna mishipa mingi sana ya fahamu ambayo hutoa taarifa kwa ubongo amboypo ubongo nao unatoa amri kwa mwili utoe kichocheo (hormone) kiitwacho oxytocin ambayo humfanya mtu amzoee mwenzake kwa harufu yake na matamu yakeee na apate shida kuanzisha uhusiano na tu mwingine ,
kadhalika na mwanaume akikumbatiwa na kuchezewa anapoanza kupata hisia za raha hutoa dawa kikemikali itwaayo "Endorphins", hivyo haishauriwi mwanzoni tu kuanza kumchezea maeneo ya makalioni. Ikiwa mmelala ubavu mikono inatembea , na kutoa amri nyingi mwili unaitikia endelea na hatua hizi nyingine utafaidi


USOKutanisha uso wako na uso wake lenegesha pua yako na pua yake,mbusu,chezea paji lake la uso kwa kupapasapapasa kuanzia juu mpaka chini huku unarudia rudia hivyo hivyo,unaweza kuiramba pua yake na paji lake la uso (ila hapa usafi muhumu sana) itakuwa ni hatua ya mwazo ya kuanza kuvuta hisia

MIDOMONI (LIPS)
Chezea lips zake kwa kutumia ulimi wako na meno yako, mbusu kwa masikio,ng'atang'ata kidogo midomo yake, kisha malizia kwa kunyonya ulimi wake utaanza kupata majibu ya zoezi lako.



MATITIWakati upo safarini katika zoezi hili anza kuchanganya viungo ili uweze kupata ladha kwa kuchezea chuchu zake yapapase matiti yake huku unayaminya minya kwa upole, ni vema kama utayanyonya anza kwa (lips) zako huku umezishika kisha zitekenye kidogo kwa kutumia ncha ya ulimi wako, sasa endelea kuzinyonya hizo titi

MASIKIO
Vuta kasi ya kuhama hapo au kufanya yote kwa pamoja ikiwa mkono wako mmoja unaendelea kutomasa tomasa matiti kwa ufundi huo, Ulimi wako uhamishie sikioni anza kulamba sehemu ya nje ya sikio hasa miisho yake unaweza kung'ata ng'ata kimtindo mtindo hivi (kimahaba nawe kani hujui) kisha ncha ya ulimi wako ipenyeze kwa ndani kwa mwendo wa kitekenya tekenya hivi.



NYWELE NA SHINGONywele huleta athari kwa kuchezewa hassa kwenye ncha za misuko yake ya upande wa kisogoni maeneo ya (medulla obrangata) mahali ambapo kuna mishipa ya fahamu (Nervous system).
Hapo sasa mwendo kasi wa viungo vyako unazidi, hamisha mkono wako kutoka kwenye matiti kuelekea shingoni , mpapase taratibu nyuma ya shingo yake, ikiwezekana tumia ncha ya ulimi wako kutekenya tekenya kwa ncha ya ulimi wako endelea kwa namna hii, pumua kwa nguvu ili ulete joto la hewa litakalo msisimua.


MAKALIOTaratiiiibu shusha mkono wako kutokea shingoni ulete taratibu mgongoni, moja kwa moja mpaka kiunoni, zungusha zungusha kidogo hapo kiunoni unaweza kumtekenya kidogo, kisha yapapase papase makalio yake kwa kuyaminya minya, wanawake wengine hujihisi raha zaidi ikiwa utayapiga piga kidogo.



MAPAJASafari inaendelea zaidi kwa kutumia ubapa wa mkono wako papasa sahemu ya ndani ya mapaja yake, ukipenda ramba ramba mapaja yake kwa ulimi wako


NYAYONyayo za mwanamke zinamishipa ya fahamu ambayo humfikisha kileleni (hapa sasa chunga sana na wapaka rangi za kucha) kwa kusuguliwa , kuminywa minywa kama unachora mistari hivi, piga piga kwa vidole viwili,bonyeza kwa nguvu bila kuleta maumivu wala usimtekenye.
minya minya vidole vyake tilia mkazo kidole cha kati cha mguu wake, kwani kidole hicho kina mishipa ya fahamu iliyounganika na uke kisha sasa unaweza kuanza kuuchezea uke, kisimi na G spot kabla ya kuanza kula tunda.


NYONGA (HIPS) UKE,KISIMI NA G SPOTAngalia katika sehemu zifuatazo nimeelezea
"Mwanaume hufikia kileleni nharaka kabla ya mwanamke, namna ya kufanya ili na mwenzio afaidi na makosa yanayofanyika wakati wa tendo hili la ndoa" maswali ambayo umeulizwa kwa kushikwa maeneo yako nawe waweza jibu hivyo hivyo onesha ushirikiano mwanamke kujituma na nyege kunyegezana,
wanaume wengi hupenda wanawake wanaojituma katika sehemu hii, kwa hivyo kwa kuyasughulikia maeneo haya kisawa sawa kutampelekea kumapawisha na kumfanya mwanamume awe anakumbuka utundu wako hata awapo kazini au barabarani na kutamani kurudi nyumbani mapema
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger