juu

Thursday 30 May 2019

Mchanganye mpenzi wako kwa maneno yaha matamu

mtoto unajua kutabasamu maana kila nikiitazama picha yako napatwa na hamu ya …., natamani kama ningekuwa ufukweni tukila upepepo mtamu huku tukipeana maneno matamu, kisha mzuka ukipanda tukatoane hamu au unasemaje?

1. Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua wanitia uchizi na kuninyima usingizi, sijui kama una kizizi au ni mapenzi ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi nimekumiss kichizi, u hali gani mpenzi?

2. Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!

3. Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

4. Mpenzi najua u-mbali nami, majaribu ni mengi wapaswa kujihami, nituniye zangu zabibu wangu tabibu, jitahidi kuwa mvumilivu nitakuja kukutibu, miss u ma luv.

5. Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.

6. Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu, unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako matamu hunizidisha hamu, hakika wajua kunikamua, luv u.

7. Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua, kiuno, sauti yako tamu mithili ya chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia, nakupenda usije niacha nitajiua!

8. Mambo yako adimu ndiyo yanayonipa wazimu, nikuonapo hupatwa hamu, hutamani unipatiye wako utamu, la azizini lini utakuja kunitoa hamu, hakika nimemiss wako utamu na kwa kuupata sifahamu maana ni wewe tu ndiyo mtaalamu. Miss u

9. Dear siku zimekaribia, miaka …… utatimiza katika hii dunia, hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi. Happy Birthday mpenzi.

10. Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.
Share:

1 comment:

  1. Baada ya miaka 2 ya kutengana, sasa tumeunganishwa tena kwa furaha! Mimi ni Judith Kamau kutoka Eldoret, kenya. Kwa miaka 4 niliishi katika ndoa yenye unyanyasaji, lakini baada ya kusoma ushuhuda kadhaa kuhusu Dk John katika makala mtandaoni. Niliamua kuwasiliana naye kwa spell maalum. Nilishangaa aliponiambia kwa usahihi matatizo yangu yote ya zamani na ya sasa na alinifunulia kuwa mume wangu alikuwa kwenye uhusiano na mwanamke mwingine. Dokta John alisema kuwa atanisaidia kumtenganisha yule mwanamke mwingine na mume wangu, nilifuata maelekezo yote aliyonipa na akafanya uchawi maalum uliotuunganisha mimi na mume wangu. Leo tunaishi pamoja kwa furaha.
    Unaweza kuwasiliana naye kupitia njia hii ili kupata suluhu la uhusiano wako au matatizo ya ndoa yako:

    Barua pepe:doctorjohn909@gmail.com.

    ReplyDelete

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger