juu

Saturday, 31 August 2019

Hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke

...
Share:

USHAURI: NIMESHIKA SIMU YA MPENZI WANGU, SINA HAMU

Mimi ni kijana umri miaka 26 mchumba wangu anafanya kazi katika kampuni moja hivi ya binafsi ,japo hatujaoana lakin tuna kawaida ya kutembeleana mara kwa mara,yeye anaishi Kinondoni Mkwajuni mimi naishi Ubungo Riverside, Weekend hii nilienda kumtembelea akanipa simu yake nimwekee vocha nikiwa naweka...
Share:

JIHADHARI NA MAADUI WA PENZI LAKO

NI Ijumaa nyingine murua. Siyo mbaya kwa wanajamvi hili, ndugu, jamaa na marafiki kushirikiana katika mapenzi kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia siyo mbaya kujuliana hali na kutambulishana mambo ya msingi yanayoendelea kwenye uhusiano wako na mpenzi wako. Hata hivyo, kuna wakati watu wengine...
Share:

MAMBO YA KUFANYA MPENZI WAKO AKIKUFANYIA KISIRANI

KWA watu waliopo katika uhusiano wa kudumu, watakubaliana na mimi kwamba kuna wakati huwa inatokea mwenzi wako anaamua tu kukufanyia kisirani, na hii inawahusu zaidi wanawake, hataki kuzungumza chochote na wewe. Kila unachomuuliza anakujibu kwa mkato kisha anaendelea na mambo yake, hataki kushirikiana...
Share:

Mmeachana, Umeachwa ila moyoni bado unahisi unampenda, fanya haya umrudishe na kutengeneza nafasi ya kuwa naye tena.

Hivi karibuni msichana wako ameamua kuachana na wewe au labada wewe ndie uliyeamua kumuacha naye ila baada ya maamuzi hayo kupita na kufanyika, moyoni unahisi upendo wako juu yake bado umeutawala moyo wako na bado anaumiliki tena kwa sehemu kubwa sana na hauko tayari kumwachia aende kwa kuwa umeshaona...
Share:

Hatimaye Sugu Afunga Ndoa Leo

...
Share:

Mahusiano ya kimapenzi ya umbali na jinsi ya kuyafanya yawe ya mafanikio na furaha.

Usipomuona mpenzi wako kwa muda moyo huingia upweke, matamanio ya kumtaka kumuona huongezeka mara dufu, mawazo ya jinsi alivyo na kila kitu kuhusu yeye hukufanya utabasamu na kufurahia uwepo wake kila umuonapo, na hukupa hisia na tamaa ya kutaka kumuona zaidi na kukufanya hitajio la kuwa naye...
Share:

Unampenda kimapenzi hautaki kumpoteza, ila humuelewi amebadilika.

"Je upo kwenye uhusiano wa mapenzi na mtu maalumu ambaye hutaki kumpoteza?, Je unapata hisia mbaya na unahisi kunakitu hakiko sawa maana kila ukitaka kumbusu mpenzi wako au kukaa nae muongee hana hisia tena kama alizokuanazo awali, kila kitu anakuwa na kisingizio na mizungusho mpaka unapata hisia...
Share:

Diamond, Nandy Bampa to Bampa

...
Share:

Mwanaume Kiongozi anawavutia wanawake kama sumaku, unajua ni nani na anafanya nini na je wewe ni mmoja wao?

"Ni watulivu, wanajiamini, wakiingia sehemu kila mtu anasimamisha anachokifanya na kugundua uwepo wao, wakiongea watu wote wengine wanawasikiliza, wengine wanataka kukaa nao wawasikie kile wanachozungumzia na kufanya, wanawake wanataka kutoka nao, hawa ni wanaume viongozi." Mwanaume kiongozi...
Share:

Chameleone Afunguka Harmonize Kufuta Sauti Yake, ‘Sipendi Kukosewa Heshima’

...
Share:

Wakazi, Nikki wafunguka kuhusu Majani na Pro. Jay

...
Share:

Umeshamboa na kumuuzi Mpenzi wako, Tumia Njia Nzuri ya Kumuomba Msamaha.

"Hakuna kitu hawa watu wa jinsia tofauti wanachokijua kama kununa, na kama upo kwenye uhusiano wa kimapenzi lazima siku ifike mwenzio anapokataa kuongea nawe, inawezekana kosa likawa dogo au kubwa, hata kama hujui ni nini kimesababisha hawa viumbe ndivyo walivyoumbwa, kwao lazima kuna...
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © 2025 juu | Powered by Blogger