juu

Thursday 22 August 2019

HAKUNA HISIA NZURI KATIKA MAHUSIANO KAMA FURAHA

Hisia nzuri kuliko zote ni furaha,,,furaha haiwezi kuja kama hamna upendo kati ya wapendanao,,,ndoto nyingi hupotea kwasababu wengi hatuishi katika upendo bali tunaishi kwa kuigiza upendo kwa maneno na sio vitendo,,,,,wenye kufurahia mahusiano yako ni wachache na wanahesabika,,,,wengi wapo kwenye maumivu na majuto ya maisha NA mahusiano yao,,,,,unaonaje leo hii mkiamua kuishi kwenye upendo?inawezekana na hakika kuna furaha kuishi katika upendo aliotuagiza Mungu,,,,amua kubadilika sasa,,,kua sababu ya furaha yake na yeye awe sababu ya furaha yako.






Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger