juu

Thursday, 15 August 2019

MWANAMKE AKIKUJIBU HIVI ACHANA NAE HARAKA SANA




Wanawake wa uswahilini wa siku hizi wamekuwa na swagger ya aina moja wanapotongozwa.utasikia "MIMI NAWAOGOPA WANAUME",ukiuliza wewe ni bikra kwani? Atajibu hapana,ukiuliza kwa nini unawaogopa wanaume wakati we sibikrao  atakujibu" NISHATENDWA SANA"


Ndugu yangu nakushauri,kama ukijibiwa hivo basi ondoka fasta ujue hapo hakuna mwanamke kabisa, kwa sababu haiwezekani mtu atendwe yeye tu na kila mwanaume, ujue huyo ana mapungufu ambayo hata wewe hutaweza kuvumilia, mapungufu ambayo hata wewe utamtenda tu na mwisho wa siku utamuongezea idadi ya wanaume waliomtenda, ila mara nyingi wanawake wanaojibu hivo au wanaotendwa hivo unakuta ni hawajatulia kabisa(vicheche)








source https://sirinzitozamapenzi.blogspot.com/2019/08/mwanamke-akikujibu-hivi-achana-nae.html
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger