juu

Tuesday, 13 August 2019

WADADA WA MJINI HAWA WAKAKA WAMEWAKOSEA NINI

Kitendo cha kuchukua tu namba ya simu ya demu wa Dar, tayari nywele zake zinafumuka muda huo huo, njaa inamuuma dakika hiyo hiyo, simu yake inaharibika siku hiyo hiyo, siku yake ya kuzaliwa inafika saa hiyo hiyo, mama yake anaumwa ghafla hapo hapo, na kodi yao ya nyumba inaisha dakika hiyo hiyo.  

Mademu wa Dar hata kama hujui kutongoza, wee kuwa mzee wa trick tu, vaa vizuri michomekeo hatari, Iphone feki mkononi huku unapiga simu feki unaongelea Pesa tu na madili feki, mara tenda ya bilioni 3 kwenye kampuni yako, mara bandarini mizigo ya milioni mia 9, mara mkataba wa milioni mia 8. Mwenyewe ghafla utasikia, "kaka mambo, shika hii namba yangu utanicheki".   







source https://sirinzitozamapenzi.blogspot.com/2019/08/wadada-wa-mjini-hawa-wakaka-wamewakosea.html
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger