juu

Thursday, 15 August 2019

WASICHANA MNAO OMBAOMBA HELA KWA WANAUME IMEFANYA WANAUME WASIWAAMINI WASICHANA

Tabia ya wasichana kuwaombaomba wanaume hela bila sababu imeondoa imani na heshima kwa wasichana.

Utakuta wasichana hao wana kazi, wana biashara ila kutwaa kuombaomba.

Hii tabia imefanya wanaume waone kuwa wasichana wote wanatabia hiyo hiyo.

Pia imesababisha hata kushindwa kuwapa hela wale wasioomba eti kwakuwa wanakuwa wanawapima tabia hiyo.

Enyi wasichana 'ombaomba' acheni tabia hiyo, mnashusha heshima za wasichana wote








source https://sirinzitozamapenzi.blogspot.com/2019/08/wasichana-mnao-ombaomba-hela-kwa.html
Share:

1 comment:

  1. Naomba wanaume tuwapende wakezetu atakama wanamapungufu tukubaliane nalo hilo

    ReplyDelete

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger