juu

Sunday, 11 August 2019

KAMA HAUJAWEKA HII KATIKA NDOA..BASI SAHAU

Lazima uamini kwamba ndoa yenu itadumu na hakuna kitu kinaitwa talaka na talaka haitakubalika kamwe. 

Ni muhimu sana ujiamini kwamba mwenza wako (mume wako au mke wako) anakupenda sana kama wewe unavyompenda yeye hata kama haoneshi kwamba anakupenda ila amino kwamba anakupenda sana ndio maana amekuchagua we were. Fahamu hivyo na amini hivyo. 

KAna ukiweka hii katika ndoa yako, huwezi kuyumbishwa n a upepo wa mashaka na hofu wakati kunajitokeza kutoelewana. Kwa njia hii itakuwa rahisi kuirudisha ndoa yako kwenye mstari.







source https://sirinzitozamapenzi.blogspot.com/2019/08/kama-haujaweka-hii-katika-ndoabasi-sahau.html
Share:

HABARAI MPYA:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © 2025 juu | Powered by Blogger