juu

Wednesday 12 June 2019

ATHARI ZA UFIRAJI (KUMFANYA KINYUME NA MAUMBILE)

mimi huwa sina tabia ya kutisha watu au kuwakataza bali najaribu kueleza ukweli kisha wewe kama mtu mzima utaamua nini cha kufanya kwani naamini kabisa kuwa

sote ni watu wazima na tuna akili timamu na tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice.Kufanya ngono kusiko a.k.a Tigo “MWIKO” ktk jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini.


Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku….lakini mambo hayo ni “taboo” ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo au Ukware/uzinzi.


Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua “unajisikiaje” lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo.
Inasemekana kuwa wanawake hawana hisia za utamu au raha ndani ya tigo bali wanaume wanahisia Fulani na unono huko kunako “O” na baadhi husimamisha zaidi ikiwa watabonyezwa katikati ya korodani na sehemu ya kunyea au kuchuliwa/shikwa/kandwa/lambwa kwa vile kuna vijimishipa ambavyo ni “most sensitive”na hupelekea wapate utamu ule wanaoupata wanawake wanapotandikwa kwenye “kipele G”. …

Lakini kutokana na miiko wanaume wengi huwa hawaruhusu hii kwa vile wanahisi kuwa hakuna tofauti na kuwa shoga au wanadhani watazoea na kuwa “watoto wa watu” (Ushoga ni hali/hisia ya kuvutiwa/kutamani mtu wa jinsia yako sio kushikwa au kufurahia sehemu ya mwili wako).
Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia)…….wazoefu watusaidie hapa.
Ukweli kuhusu Tigo.- Sio tendo asilia ktk swala zima la ngono na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa tako kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya wa vile “mchumba” kaomba/anataka…..wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. Kama unahisi unachokwenda kukifanya sio “natural” na hujisikii vema kushiriki ngono Tigo basi acha/kataa kufanya hivyo.





-tigo haina ute asilia wa kuusaidia uume kuingia bila “kwere” hivyo unahitaji vilainisho maalumu ili kurahisisha hilo.
Hakikisha mnatumia Condom zenye “polyurethane” hizi inasemekana ni imara na zinahimili joto la huko kumavi kuliko zenye “spermicides” kwani husababisha muwasho utakaoweza kukusababishia maambukizo menine yayokanayo na wadudu asilia walioko sehemu hiyo ya kunyea.
Mara mishipa ya tigo ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.


Hakikisha uume ukitoka tigo haugusi au kuingizwa tena ukeni ili kuepuka maambukizo kwani sote tunatambua kuwa huko mahala kuna vijidudu asilia ambavyo ukivikanganya tu unaibuka na gonjwa la ajabu(unakumbuka hadithi ya AIDS?).
Wengi tunaamini kuwa kufanywa nyuma ni kwa mashoga tu lakini kuna wanawake wanafurahia kama ilivyo ngono ya mdomo na baadhi hujigeuza kama njia mbadala ya kuzuia mimba au kulinda bikira (zaidi ni ktk jamii ya waarabu).


Kuingiziwa ndude huko kumugongo kunauma (kunakupa maumivu)…..fikilia unapokunya kimba gumu tena baada ya kumeza mbegu za matunda Fulani yanaitwa “mabungo”…tunda lenyewe ni mbegu na mbegu hizo zinatabia ya kutereza bila taarifa…..sasa rafiki yangu sikilizia wakati wa kutoa kimba…utalia basi nasikia Tigo pia inauma sana lakini wasogo wake wanatumia mafuta au Jelly kutimiza haja zao.


Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.

Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi.


Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.


*Mimi binafsi napinga kwa nguvu zangu zote swala la Ngono kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako…..wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo.
Ushuri wa bure-Jiheshimu na thamini mwili wako…..usitoe tako lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi…..ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia.





Asanteni sana
Share:

Mama kuwa makini House Girl Yaweza Kuwa Mke Mwenzio

Hivi ni vibaya House girl kuolewa na baba mwenye nyumba?

Ndugu msomaji wa Muungwana Blog, karibu kwenye makala hii maalumu, nimeamua kuandika habari hii ili kujaribu kupunguza mifarakano kwenye familia zetu especially familia zenye wafanyakazi wa ndani wanaojulikana kama house girl.

Katika mada hii nimekuwa nikikutana na maswali mengi sana ambayo mda mwingine yalikuwa yakituchanganya hata sisi wenyewe katika kuwajibu wahusika, maswali haya malanyingi yalikuwa yakiulizwa na akina mama.

Na kwa upande wa akina baba maswali yao sio mengi ukilinganisha na akina mama, sasa napenda nianze kwa kusema mambo yafuatayo ili wote twende sawa.

WAJIBU WA MWANAUME KATIKA FAMILIA:
Mwanaume anawajibu wa kutimiza mahitaji yote ya msingi katika familia yake, moja ya majukumu hayo ni pamoja na kutoa pesa za matunzo ya familia yake kadri ipasavyo, kuonyesha upendo wa dhati kwa mama pamoja na watoto wake, na mambo mengineyo nk.

WAJIBU WA MWANAMKE KATIKA FAMILIA:
Mwanamke ndiye mtendaji mkuu wa familia kwa upande wa nyumbani ukiachilia mbali ya kwamba baba ndiye kichwa cha familia, mwanamke anamajukumu mengi kwa upande wa nyumbani moja ya majukumu yake ni pamoja na kupika chakula cha familia, kufua nguo za mumewe pamoja na nguo za watoto, kuakikisha nyumba pamoja na eneo linaloizunguka nyumba ni safi, kuonyesha upendo wa dhati kwa mumewe pamoja na watoto wake, nk.

Ndugu msomaji wa makala hii, nadhani mpaka hapo tayari umeisha anza kupata mwanga kuhusu jibu la swali la makala yetu, sasa twende kuona wajibu wa mfanya kazi wa ndani kama house girl.

House girl wajibu wake ni kuakikisha anafanya usafi wa kuizunguka eneo la nyumba kwa nje na kufanya usafi huo kwa upande wa ndani kwa baadhi tu ya maeneo ya nyumba hiyo pamoja na kuwaogesha watoto, kufua nguo za watoto, na kufanya kazi ndogo ndogo za nyumbani.

House girl hatakiwi kufanya usafi chumbani kwa mume wa mama mwenye nyumba, house girl hatakiwi kufua au kupiga pasi nguo za mume wa mama mwenye nyumba, house girl hatakiwi kumuandalia chakula au chai mume wa mama mwenye nyumba, nk.

Sasa ukiona house girl anafanya kazi zote nilizosema kuwa hatakiwi kuzifanya pindi awapo nyumbani kwako, ukiwa kama mama mwenye akili timamu jua kabisa tayari umeamua kumuletea mumeo mke mdogo na pia usipige kelele wala kulaumu maana jitihada zote za kumuandaa mke mwenzio umezifanya wewe mwenyewe.

Ushauri wangu kwenu akina mama na akina dada nikwamba, hatukatai kuwa wafanyakazi wa ndani hawafai, ila jitaidi mfanyakazi wako awe na mipaka ya kazi, mwanaume anaamua kumuoa house girl kwa sababu yeye amechukua majukumu yote ya mama mwenye nyumba, sasa wewe mama usianze kumtupia maneno mtoto wa watu pamoja na mumeo maana yote hayo umeyataka wewe mwenyewe.
Share:

YAJUE MAMBO MANNE YA KUFANYA BAADA YA KUMALIZA KUFANYA TENDO LA NDOA!




Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia siha njema na pia kwa kunipa mwangaza wa kuandika hiki ninachokusudia. Pia niwashukuru wapenzi wasomaji wa safu hii ambao tumekuwa tukiwasiliana na kushauriana hili na lile katika tasnia hii adhimu ya mapenzi. Nawakaribisha sana!

Labda kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndiyo maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kuizungumzia.

Hata hivyo, tunachofanya siku zote ni kukumbushana kwa yale tunayoyafahamu na kushauriana kwa pale tunapohisi wengi hufanya makosa. Baada ya kusema hayo sasa nigeukie mada yangu ya leo ambayo kwa kiasi kikubwa inawahusu wale walio kwenye ndoa na kikubwa nazungumzia yale ambayo wawili waliotokea kupendana kwa dhati wanatakiwa kuyafanya mara baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa.

Nalazimika kuandika makala haya baada ya kubaini kuwa wengi wamekuwa wakifanya makosa na kujikuta wakishamaliza kufanya tendo hilo takatifu, kila mmoja anageukie kwake kisha kuuchapa usingizi.
Sisemi kwamba ni lazima kuyafanya haya nitakayoyaeleza leo ila yakifanywa huwa na manufaa yake na mara nyingi yanaboresha

uhusiano.

Kuoga pamoja
Mtakuwa ni watu wa ajabu kama mtamaliza kufanya tendo hilo kisha kila mmoja kulala na majasho yake. Wapo wasiojali katika hili na kuona kuoga au kutooga ni uamuzi wa mtu. Elewa linapokuja suala la usafi inashauriwa mkimaliza lazima muoge.

Wapo wanawake ambao wakishamaliza hukimbilia kuwaandalia maji wenza wao, wakishaoga ndipo nawo huenda kuoga. Hivi unaona ugumu gani kwenda kuoga na mwenza wako? Unaijua raha ya kuoga na huyo wako wa maisha?
Wanaofanya hivyo wanajua raha yake na wewe ambaye hujawahi, anza leo. Mmemaliza mambo yenu, chukuaneni kimahaba, elekeeni bafuni kisha ogeshaneni kimahaba.
Baada ya hapo rudini chumbani, mkishajifuta maji pandeni kitandani mkiwa wapesi.

Kusifiana
Hakuna muda maalum uliotengwa kwa ajili ya wanandoa kusifiana. Hilo linaweza kufanyika wakati wowote lakini pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa ni lazima utakuwa na jambo zuri la kumuambia mwenza wako.
Msifie kwa utundu na ubunifu wake. Msifie pia kwa mapenzi matamu anayokupa na ikibidi mpe sifa ya uzuri wake kiasi cha kukufanya kila unapokuwa karibu yake ujisikie amani ya kupitiliza.

Wapo ambao hawana kabisa kasumba ya kuwasifia wala kuwashukuru wenza wao kwa mazuri wanayofanyiwa. Yaani wao wanachukulia kila kitu poa tu bila kujali kwamba kusifiana kunanogesha mambo.

Kuelekezana
Kwenye kale kamchezo, wapo ambao wanakosea, kuelekezana na kukosoana kwa wapenzi ni jambo la kawaida. Yawezekana mwenza wako alifanya kitu ambacho hakikukufurahisha wakati mkiendelea na burudani yenu, mnapomaliza mwambie lakini kwa lugha ya kimahaba na ya upole. Naamini kwa kufanya hivyo atakuelewa na kubadilika.

Zungumzieni maisha
Huu ni wakati muafaka wa kujadili changamoto na malengo katika maisha yenu. Hapa akili zinakuwa zimetulia na kila mmoja anakuwa na mawazo chanya kwa mwenza wake. Jadilini mambo yenu, wekeni mikakati ya kuliboresha penzi na maisha yenu kwa ujumla.

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo mnashauriwa kuyafanya pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa. Yapo mnayotakiwa kuyaepuka ili kutotibua furaha iliyopatikana. Hayo nitakuja kuyaeleza katika makala zinazokuja kupitia ukurasa huu. Niwatakie siku njema na tukutane wiki ijayo!
Share:

Zitambue Dalili za Mwanamke Anayetaka Kuachana Nawe Katika Mahusiano

Kuna tofauti kubwa ya kimaamuzi kati ya mwanaume na mwanamke kwenye suala la kuachana. Inaelezwa kwamba, wanaume ni rahisi kuamua ndani ya dakika moja na kutangaza kuvunja uhusiano, lakini kwa wanawake maamuzi yao mara nyingi hutanguliwa na dalili, ingawa hata wanaume nao wanazo.
Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake wengi hawawezi kuficha sana hisia zao za mapenzi, lakini pia kwenye chuki hawakujaaliwa uvumilivu. Wanasaikolojia wanakiri kwamba, kutambua mawazo yaliyomo ndani ya mwanamke kwa kumtazama muonekano wake usoni ni rahisi kuliko mwanaume ambaye anatajwa kuwa na uwezo wa kuficha mawazo yake.
Muongozo huo wa kitaalamu wa kumtambua mwanamke anayekaribia kukuacha ni kazi rahisi, ambayo inaweza kuanzia kwenye kona ya mazoea ya tabia zake za kila siku kwenye uhusiano wa kimapenzi. Ni imani yangu kuwa kila mwanaume anamfahamu mpenzi wake katika sura mbili za chuki na furaha yake.
Atakuwa mwanaume wa ajabu ambaye atarudi nyumbani kwake na kushindwa kusoma sura ya mkewe na kujua kama ana furaha au amekwazika.
Ninapotazama uwezekano rahisi wa kumtambua mwanamke, nafika mahali pa kuamini kuwa dokezo chache nitakazotoa hapa chini zinaweza kuwa msaada kwa wanaume wengi kujua kama wamekaribia kuwekwa kando kimapenzi.
1. Hupenda kujitenga.
Mwanamke ambaye anapenda kujitenga na mpenzi wake atakuwa kwenye hatua za awali za kuelekea kuachana naye. Tabia ya mwanamke kutopenda kukaa karibu na mumewe au mpenzi wake inatajwa kama ishara ya kuchoka au kukinai penzi. Hoja inabaki pale niliposema yeye kushindwa kuamua haraka na hivyo kutengeneza kwanza hali ya kumpuuza mpenzi wake.
2. Hupoteza hamu ya tendo la ndoa.
Mwanamke ambaye hafurahii tendo la ndoa kwa mumewe au mpenzi wake yuko kwenye hatua za kuacha. Mara zote msisimko wa kimapenzi huashiria utoshelevu wa kihisia ambao ndiyo unaoelezwa kuwa ni muhimu kwenye uhusiano wa kimapenzi kuliko kitu kingine chochote.
Hii ina maana kwamba, mwanamke anayetosheka na kuvutiwa na mwanaume aliyenaye hawezi kukosa hisia za kimapenzi hasa anapokuwa na mwenza wake faragha.
3. Hupenda kukosoa kila kitu.
Kama nilivyosema, kujua historia ya penzi lenu namna lilivyoanza ni jambo muhimu kwa sababu husaidia kujua kama kuna mabadiliko hatari ya tabia za mwanamke.
Ikitokea mpenzi wako ambaye hapo mwanzo alikuwa msikivu na ghafla ukaanza kuona amekuwa mkosaji na mpingaji wa mwenendo wako au kila unachofikiria kukifanya, tambua kuwa hiyo ni ishara kuwa amechoka kilichobaki ni nafasi ya kukuacha.
4. Kutokukutegemea
Mwanamke ambaye ana kusudio la kukuacha huanza kwa kuuondoa utegemezi. Ikiwa alikuwa anakuomba nauli, fedha ya matumizi, ada na huduma nyingine atasitisha bila kukuambia na bado utaona anaendelea kujimudu kama kawaida au kuteseka kimya kimya. Kuacha kukutegemea kama zamani ni dalili za kuweza kuishi bila wewe na hivyo kutafsiri uwezekano wa kukuacha wakati wowote.
5. Kupunguza mawasiliano.
Asikwambie mtu aiseeeh, mapenzi ni mawasiliano bora kati ya mume na mke. Endapo itatokea ya kwamba hakuna mawasiliano thabiti baina yako na mpenzi wako kama ambavyo ilikuwa mwanzo basi tambua fika penzi lenu limefika ukingoni
Share:

Utafiti: Wanawake Wanapenda Kufanya Tendo la Ndoa Kwenye Mazingira Haya



Inaeleweka kuwa wapendanao iwe wanandoa au wapenzi hupenda kufanya mapenzi sehemu yenye mwanga hafifu au gizani.

Tofauti na watu na mataifa mengine, kwa Waafrika suala hilo ni siri na linahitaji faragha kukamilika. Lakini kwa baadhi ya watu imekuwa kero kutokana na kutamani kufanya tendo hilo gizani, huku wanawake wakitajwa kuwa vinara wa kuzima taa.

Utafiti mpya umebaini kuwa katika kila wanawake wanne, mmoja anapenda na anakuwa huru kufanya mapenzi gizani kwa sababu mbalimbali ikiwamo kutojiamini.
Carl Loudgers aliyeshiriki kwenye utafiti huo na kuwauliza wanawake zaidi ya 2,000 kwa kukusanya majibu kwa njia ya mtandao anasema walibaini asilimia 60 ya wanawake hao wanatamani kuwa na ujasiri wa kukutana kwenye mwanga lakini wanashindwa.

Anasema zaidi ya asilimia 75 walisema hawapendi miili yao, huku asilimia 66 wakisema wanaona aibu kutokana na mwonekano wao.

Utafiti huo uliofanywa na mtandao wa Weight Watchers, ulibaini asilimia 27 wanafanya mapenzi gizani kwa sababu hawaamini miili yao kama inavutia kwenye mapenzi.

Ulionyesha pia asilimia 38 ya wanawake na wanaume waliohojiwa walisema kuwa wanaamini wapenzi wao hawatawaona wanavutia wakiwa watupu.

Sheiilar Gregam miongoni mwa wanandoa waliohojiwa kwenye utafiti huo alisema jambo linalochangia hali hiyo ni mitandao. Alisema wanawake wanaoonekana wakiwa watupu kwenye mitandao ni wale wanaovutia kiasi ukijilinganisha nao inakuwa ngumu kukubali kukaa bila mavazi, huku wapo ambao wanavutia.

“Nikiangalia mastaa walivyo na maumbile ya kuvutia, baadhi yao wamezaa, natambua kuwa wapo wanaojirudishia wakiharibika kama mimi baada ya kuzaa, lakini nakosa kujiamini kabisa na ninaamini hao wanapendeza zaidi yangu,” alisema Sheiilar katika mahojiano ya utafiti huo.
Baadhi yao wamekuwa wakiona aibu ya vitu vilivyomo mwilini mwao kama matiti, alama za mwilini na makovu ya upasuaji.

Maziwa kuanguka baada ya kunyonyesha mara tatu.
Kuning’inia nyama za tumbo na kuongezeka uzito ni moja ya sababu za kuzima taa.
Matokeo ya utafiti huo pia umebaini wanawake wawili katika kila wanawake watatu huchukia kuangalia wanawake wenzao wakiwa hawajavaa nguo.

Ulibaini kuwa asilimia 60 ya wanawake hawapendi kabisa kujitizama wao wenyewe kwenye kioo wakati wa kuvua nguo.

Loveness Ayoub mkazi wa Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam anasema hupata wakati mgumu anapokutana na mwanaume mzuri kwa sababu hukosa kujiamini na hivyo hufurahia zaidi wakijamiiana gizani.

Anasema akijitizama na rafiki zake humwambia amenenepa, hivyo akiwa na mwanaume anayevutia huamini atamuacha kutokana na umbo lake lilivyo.

“Tangu nipo chuo rafiki zangu walikuwa wananishangaa nikivua nguo, kiasi kwamba sikuwa nafanya hivyo wakiwepo, hali hiyo imenijengea uwoga na kunipotezea kujiamini.

“Nikiwa na mwanaume mtu mzima huwa sijali kwa sababu naamini ameona wanawake wengi amekuja kwangu kwa ajili ya kupumzika na sihitaji kuwa naye maishani ukilinganisha na wanaovutia ambao natamani hata wanioe,” anasema Ayoub.

“Nimeoa nina watoto wawili na huyo mke wangu, lakini nikitaka kumuona vizuri umbo lake akiwa mtupu nimvizie anaumwa au kalala, tofauti na hapo hajawahi kuvua nguo akakaa mbele yangu,” anasema Omari Kiyungi.

Kiyungi anasema licha ya kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka tisa mkewe hataki kabisa kukaa mtupu mbele yake kwa madai ya kuona aibu.

“Sipendi, natamani nimuone akiwa hajajiziba na ‘manguo’, lakini juhudi zangu zimegonga mwamba, hana dalili hiyo na hataki kabisa,” anasema.

Anasema alikuwa anachukia hadi sasa amezoea na akimuona mwanamke amevaa kihasara hasara anamdharau na kumuona hajiheshimu kwa sababu amezoea kufichiwa maungo.

Alisema akitizama mwili wake kwenye kioo hasa baada ya kuzaa mara mbili na kunenepa huogopa na kuhisi anamuangusha mumewe kwa umbile lake.

Msimamizi mkuu wa utafiti huo na mshauri wa masuala ya saikolojia Keren Smedley alisema wengi wa waliobainika kuona aibu kuvua nguo mbele ya wapenzi wao hawakuwa na tatizo na walikuwa na kila sifa ya kumshawishi mtu kuwatizama.

Akizungumzia hali hiyo mfundaji kutoka Mbagala Charambe, Zakia Kilimi maarufu Mchambaji, anasema wanawake wamekuwa na hali hiyo kutokana na tamaduni za siku za nyuma kuwa mapenzi hufanywa kwa siri.

Anasema wakati huo hasa kwa familia za kawaida walikuwa wanaishi katika chumba kimoja, hivyo upende usipende utazungumza na mwenzi wako gizani.

“Hii hali imesababisha hata wanawake wengi kushindwai kuachia hisia zao kwa wapenzi wao wakiamini wataonekana malaya na wasio na maadili kwa sababu imezoeleka mambo hayo ni ya kunyata nyata,” anafafanua.

Anaongeza kuwa siku hizi hayo mambo ndiyo yanakwisha na wanawake bila kujali wana umbo zuri, baya, makovu wanajiachia na kutambua umuhimu wa faragha ni kuonana hivyo wazazi wasiwatishe watoto wa kike kuwa kujiachia ni uhuni.

Zainabu Jumanne (siyo jina lake halisi) anasema kuwa mpenzi wake anajivunia kuwa naye lakini wakiwa faragha anashindwa kukaa mtupu. Anasema vivyo hivyo hata wanapojamiiana kukiwa giza hufanya kila aina ya mbwembwe tofauti taa ikiwa inawaka.

Anafafanua kwa sababu hiyo mumewe akitaka kuburudika na kukata kiu ya kuzungumza naye faragha huzima taa kabla hajaambiwa.

“Sijiamini kabisa kukiwa na taa, nahisi kama ananichora ninavyoweweseka, lakini kukiwa giza ashindwe yeye tu,” anasema.

Anaitaja sababu nyingine ya kupenda kujamiiana gizani ni matiti yake yamelala halafu hayana nyama.

Anasema anatumia ufundi wa faragha kuziba yote hayo kwa kumuonyesha mitindo mipya, lakini ili ayapate hayo sharti iwe gizani.

“Kukiwa giza akakubali kukutana nami, akiniacha nitatambika sina historia ya kuachwa tangu nikiwa msichana hadi nimeolewa, ingekuwa najiamini na kujamiiana kwenye mwanga na mautundu niliyonayo, naamini ningekuwa mkali zaidi, nimejaribu nimeshindwa na kwa hapa nilipofika haiwezekani tena,” anasema.

Mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, Yusufali Yusuph anasema hataki hata kumsogelea mwanamke anayependa kujamiiana gizani kwa sababu huamini kuna kitu anaficha.
Anasema siku hizi maradhi mengi, anaweza kudhani anaona aibu au hajazoea kumbe kuna jambo anaficha.

“Haa raha ya mapenzi muonane jamani gizani tena! Siwezi na simtaki mwanamke wa aina hiyo,” anasema Yusuph.

Mtaalamu wa masuala ya saikolojia Modester Kamongi anasema yapo mambo mengi yanayochangia mwanamke kuogopa ikiwamo kutokujiamini.

Anasema mila, desturi na tamaduni ni miongoni mwa mambo yanayochochea hilo kwa sababu wanawake wengi huamini stara ndiyo sifa ya kuwa mke bora na kushindwa kutofautisha mahali pa kujistiri pa kujiachia.

Kamongi anasema linapokuja suala la aibu siyo kwa wanawake pekee wapo wanaume wenye aibu na wameumbwa hivyo, ikitokea kukutana na mmoja wa watu hao cha kufanya ni kuwazowesha taratibu hatimaye kama binadamu watakubaliana na hali halisi japo kwa shida.

“Huwachukua muda kuzoea, lakini uwezekanao upo na wakasahau kabisa kama walikuwa hawawezi, lakini inahitaji utayari wa kuwazowesha badala ya kuwalazimisha, ”alisema Kamongi.

Anaitaja sababu nyingine inayochangia wanawake kukataa kukaa utupu kuwa ni kutojiamini.
Anasema hali hii hutokana na maneno anayosikia au aliyosoma kuhusu umbo lake.

Anafafanua kuwa kuna baadhi ya familia mtoto akiwa mnene au mwembamba au ana umbo fulani uhusisha umbo hilo na neno ukiolewa sijui itakuwaje.

“Mtoto hukuwa na neno au misemo ya aina hiyo hivyo anapoolewa au kuwa na mpenzi hukumbuka na kutamani asimuone kwa sababu hajui itakuwaje kama alivyokuwa anaambiwa.

“Wengine hudhani mwanaume akiona umbile lake ambalo lilikuwa linawaisha ndugu, rafiki zake litamtisha pia na kuamua kumuacha, hivyo huona afadhali nusu shari kuliko shari kamili ya kuachwa,” anasema Kamongi.

Anaeleza wote hao wanaweza kubadilika iwapo wataeleweshwa na kujengewa kujiamini ikiwamo kwa kusifiwa kila wanapokaa bila nguo hata kwa bahati mbaya.

“Wengi wao hawajiamini, wakisifiwa na muhusika kuonyesha kutamani kuona maumbile yao mazuri yakiwa wazi taratibu watabadilika,” anasema.

Ushauri wazazi wawajenge watoto wa kike kuthamini vile alivyo navyo hususan kuukubali mwili wake badala ya kuwasema kwa ubaya kwa eneo lolote la mwili lililozidi au kupungua.
Share:

Jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli

Kuwa msichana
Weka kazi yako binafsi na elimu yako kando. Wanawake wengi wanapokuwa kwenye miadi hupenda kutumia elimu na madaraka yao kulumbana na wenzi wao kupita kiasi. Hupaswi kufanya hivyo, badala yake unatakiwa kujua kwamba hapo mpo kwenye pambano la ngumi au malumbano ya hoja.

Angalia juu ya uzuri wakeUsipumbazike na utanashati wake. Jiulize, mwanaume huyu anastahili kuuteka moyo wako? Ni mzuri kiasi gani katika uhusiano? Anamhudumiaje mama yake? Anaishi vipi na ndugu na rafiki zake? Kama jibu la maswali haya haliko wazi, basi chunguza zaidi.

Mara atakapokuwa na uhakika kuwa wako, anaweza kubadilika na kuendelea na tabia zake za zamani na kukutenda kama anavyowatenda watu wengine.

Jizuie kabla ya kufanya mapenziNashauri kwamba usifanye mapenzi na mwanaume/mwanamke huyo mpya haraka, angalau baada ya kufahamiana naye kwa miezi mitatu hivi, kama lengo ni kuwa naye kwa muda mrefu. Ni vizuri ukakubali kufanya naye mapenzi angalau baada ya kumfahamu vilivyo na yeye mwenyewe akakutamkia jinsi anavyokupenda, vinginevyo anaweza akakuchezea tu!

Nenda na mtiririko
Ufunguo sahihi wa kudumu katika uhusiano wenu kama wapenzi ni kuwa nyote wawili kufikia maafikiano. Kama mpenzi mmoja au nyote wawili mtakuwa mnafanya mambo bila ushirikiano au kutishwa na mabadiliko madogo, matatizo yataanza kuchipua.

Kwa mfano, kama ataanza kufanya kazi na kuchelewa kurudi usiku wakati wewe ukitegemea kumwandalia chakula cha usiku, elewa kwamba atafarijika zaidi kama utamwandalia kahawa kabla ya mlo kamili. Atajilaumu kwa mabadiliko ya mipango na atataka akutamkie yaliyo moyoni mwake ili akuweke kwenye himaya yake.
Share:

Huu Ndio Utundu Komesho Kwa Mwanamke Kitandani

Karibuni katika somo jingine ndugu wapenzi wa Elimu Kuhusu Mapenzi na Mahusiano kumekuwa na maombi kama huwezi kumfikisha mwanamke kileleni basi unausika katika hili somo!!!!…Wengi wakitaka kujua ni namna gani ya kumfikisha mwanamke kileleni kwa kuzani hawana nguvu za kuhimiri kufanya tendo kwa muda mrefu bila kufikiri kuwa kumuandaa mwanamke kabla ya tendo kunaweza kukusaidia katika kumridhisha.

Wanaume wengi huwa hawana maandalizi mazuri kwa wanawake wao kabla ya tendo la ndoa yanayoweza kuwasaidia kama kichochezi cha kuwafikisha kileleni mapema.

Basi njia hizi zinaweza kuwa msaada mkubwa endapo zitatumika ipasavyo na hata yule ambaye ulikuwa umridhishi baada ya somo hili utaweza kumlidhisha ipasavyo kwa kumfanyia yafuatayo.

1.Mpe maneno matamu okimtomasa kwa ulimi sikio lake kimahaba zaidi



  1. Pitisha ulimi wako shingoni kifuani, tumboni, mapajani ni ikibidi zama chumvini walau kwa dakika kumi hivi

  2. Tumia ulimi wako ipasavyo kutomasa kitovu chake

  3. Mnyonye lita kadhaa za mate na huku ukitumia ulimi wako ipasavyo kuuchanganya ulimi wake

  4. Papasa matiti yake huku ukifinya finya chuchu zake na peleka mdomo wako huku ukinyonya kama mtoto

  5. Zungusha viganja vyako karibu kila kona ya mwili wake bila kusahau kubinya binya sehemu za mbavu hips na makalio yake

  6. Chezea ki**mi chake kwa vidole vyako au kwa ulimi ikiwezekana

  7. Mpe koni ya asili ajilambie kwa raha zake

  8. Muweke mkao mzuri wa kupokea zawadi yake

  9. Ingiza taratibu mti shimoni

Hata kama huna uwezo wa kumfkisha kileleni hiyo dozi itakusaidia vilivyo.
Naamini kama utayafanyia kazi ipasavyo tatizo la kumridhisha mwanamke litapungua.. ZINGATIA yafuatayo;
Maandalizi kwanza:
Tumia muda wa kutosha mwanzoni, wanawake wanapenda kuingiliwa taratibu bila pupa. Mbusu, mfanyie masaji na mchezee kwa muda, huku ukim non’goneza maneno machafu masikioni, na tumia mda kumpapasa sehemu nyeti. Anahitaji kuloana hatakabla hujamvua nguo.
Mtafutie Style anayoipenda:
Najua wengi mnapenda ile ya kumweka juu huku ukimshika matiti yake na makalio. Itunze hiyo utaitumia badae, mwanzoni jaribu kutafuta style ambayo ina mchanganya na kumfurahisha yeye kwanza, kama vipi muulize kwanza
Share:

Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali…

KUNA watu wamezaliwa wakiwa na hofu kubwa ya kuwaogopa mademu wazuri. Kuna mwingine akimuona demu mzuri mtaani, anajisemea kabisa kwamba; yule si taipu yangu, eti kisa kapendeza, msafi na anaonekana matawi fulani ya juu. Mwanaume anatakiwa kujiamini, hakuna mwanamke duniani ambaye si saizi yako, kila demu unayemuona mtaani basi jua kwamba huyo ni saizi yako

 ndiyo maana Mungu kamuweka katika dunia hii na wewe kufanikiwa kumuona. Leo nataka nikufundishe namna ya kumpata demu mkali, hata kama wewe ni muoga, unahisi kwamba mademu wa aina hiyo si taipu yako lakini naamini njia hizi zitakufanya kumpata kiurahisi kabisa na kufanya mambo yako, kama ni kupanga naye maisha au la.

1.TAFUTA JINA LAKE KWANZA
Unapomtaka demu mkali mtaani kwako, kitu cha kwanza tafuta jina lake. Hii itakusaidia kumshangaza. Wanawake wapo hivi, huwa hawapendi sana kujulikana, inapotokea msichana huyo ukaonana naye na kumuita jina lake, kwanza atasimama, atakuuliza umenijuaje? Nani kakwambia jina langu? Usiogope, kwanza tabasamu, hilo litamfanya kuona kwamba wewe ni mtu mzuri, jibu utakalompa, hakikisha linakuwa lile la kukutafuta baadaye.

Kwa mfano unaweza kumwambia: “Mbona nakufahamu! Wewe ni staa sana hapa mtaani, kila mtu anakujua!” ukimwambia hivyo, atataka kujua zaidi na zaidi, ni akina nani wanaomjua halafu mbona yeye siyo staa! Unachotakiwa kufanya ni kujiweka bize, mwambie ‘nitakwambia nimekujuaje ila kwa sasa kuna sehemu nawahi.’

Ukifanya hivyo itamfanya yeye kuwa na hamu ya kukutafuta. Hata ukimwambia akutafute baadaye, atakutafuta kwa lengo la kutaka kujua imekuwaje. Ukiona ameelekea kidogo, mwambie niachie namba yako, nitakwambia, si hilo tu, kuna mengi kuhusu wewe.

Nakwambia hivi, kwa hatua hiyo, hakuna msichana ambaye atakukazia namba yake, lazima atakupa.


2.USIMLETEE SANA SHOBO
Akikupa namba, usijifanye kuwa na haraka ya kumtafuta. Unachotakiwa kufanya ni kucheza na akili yake kwanza. Najua atakuwa na hamu ya kupata simu yako, kwa siku hiyo mkaushie mpaka kesho yake ndipo umtafute. Kuwa makini, usimpigie, wewe mtumie meseji, mwambie “Upo poa staa wangu wa ukweli?” atakachokifanya ni kuuliza wewe nani! Inawezekana akawa anajua, ila kwa mapozi ya kike ni lazima ajidai kuuliza. Mwambie ni yule mshikaji wa jana! Ongezea kwa kumwambia kwamba utamtafuta ukirudi kutoka kazini, hata kama huna kazi, jiongeze kidogo.


3.MPIGIE SASA, ANZA KUMSIFIA
Wanawake wanapenda sifa, wanapenda kusifiwa. Kitu cha kwanza mwambie kwamba kuna siku uliwasikia washikaji wakimzungumzia, kwamba demu fulani mkali, anajua kuvaa, ananukia vizuri, ukataka kumjua ndipo wakasema kwamba ni yeye. Hilo litamfanya kujiona anakubalika sana, kumbe watu wanamsifia mtaani, kumbe wewe unamuweka kwenye saiti yako.

Ukiwa unazungumza naye, jifanye mcheshi sana, mchekeshe, mwambie na wewe ulivyokuwa na hamu ya kumjua msichana huyo msafi na mrembo ndiyo maana ukaamua kumtafuta. Mpaka kufika hatua hiyo, ataanza kukukubali, kwa ucheshi utakaomuonyesha atakuona wewe mtu mzuri na mtakuwa mnaanza kuchati. Usimtongoze lakini muonyeshee dalili za kumtaka. Chati naye hata kwa wiki moja halafu fanya njia ifuatayo;


4.MUOMBE MTOKO WA KIZUSHI
Hapa simaanishi mtoko wa kwenda klabu au ule mtoko siriazi sana, kwanza mwambie wewe siyo mtu wa klabu ila unataka kumpeleka sehemu fulani hivi kwenda kunywa kahawa au juisi. Kwenye kumuomba mwambie utajisikia furaha ukiwa unatembea na demu mkali kama yeye, mwambie kila mwanaume anajisikia fahari akitembea na msichana anayependeza na kunukia vizuri kama yeye. Kwa sifa hizo za mara kwa mara, atakwambia anayo nafasi hivyo atakukubalia.


5.KUWA MAKINI KWENYE MTOKO WAKO
Demu yeyote anapenda mwanaume mchangamfu, jinsi utakavyomuonyeshea uchangamfu kwenye simu iwe hivyohivyo hata ukionana naye na kutembea naye. Usimuonyeshee akahisi yule wa kwenye simu ni tofauti na huyu.


6.NENDENI MNAPOKWENDA
Usitake kutumia sana pesa, usitake kuingia gharama kubwa kwani mademu wana kawaida ya kumsoma mwanaume siku ya kwanza tu. Kama vipi mwambie wakati wa kurudi mtembee kwa miguu, hii itakupa nafasi ya kuzoeana sana, hata kama akitaka mpande usafiri, mwambie mtachukua mbele, kwanza omba kutembea naye hata nusu kilometa. Katika maongezi yote usijisifie ila mfanye ajue unajua mambo mengi sana.

Jaribu kumwambia mambo ambayo unaamini hata yeye hayajui na angefurahi kuyajua. Mwambie kuhusu hadithi ya Romeo And Juliet, mwambie kuhusu Malkia Cleopatra alivyotetemesha kwa uzuri wake, mwambie mambo mengi ambayo utaamini kwamba hayafahamu ila angependa ayafahamu.

MALIZIA KWA KUMWAMBIA HIVI…

Mkiachana na kurudi nyumbani, mpigie simu, mwambie unamisi uwepo wake, ungetamani uwe naye tena, unaimisi harufu yake, mwambie ulikuwa karibu na ua kwa hivyo ile harufu yake imekupata hata wewe. Mchekeshe kidogo, mwambie unamisi tabasamu lake, mwendo wake wa twiga, mwambie unamisi uzuri wake, yaani huo ndiyo muda wa kumsifia mpaka ajione duniani hakuna mwanamke kama yeye. Ukifanya hayo, jua kwamba huyo mwanamke lazima akukubali kwani atahisi yupo na mtu sahihi.
Share:

Mambo yatakayomfanya mpenzi wako asikuache kamw

Upendo ni kitu ambacho hakizuiliki. Napale patakaposhikilia ule upendo ipasavyo ndo husikii wala huoni utakaloambiwa juu ya akupendaye. Matendo mbalimbali yanayofanywa na wale wapenzi moja kwa moja huchochea upendo wa moyoni ambao hudumu milele, ndio hapo utasikia keshapewa madawa, mara mke wake kamkalia kila atakachoomba lazima apewe na mengine mengi ambayo umekumbana nayo au kuyashuhudia kwa watu wengine.

Moja kwa moja niende kwenye hivo vichochezi kama ifuatavyo:
Kusikiliza na kua mshauri mwema kwa mwenzako. Iwe ni kuhusu familia yake au mipango yake ya baadae au kimasomo, kikazi na hata kibiashara. Ikumbukwe kuwa mafanikio ya mmoja ni chachu ya maendeleo mazuri hata mtakapokua katika familia.

Kujishusha panapotokea kutokuelewana (yaani kuwa mwepesi wa kuomba msamaha). Majibizano siku zote hayajengi hasa mnapokua mna hasira au mmoja kati yenu ana hasira.

Neno ahsante ni dogo sana ila lina couragement kubwa saana, Ukipongezwa na hata unapopewa pole shukuru. Unapopewa chochote na mwenzako iwe ni ushauri, maoni, mawazo mapya juu ya miradi mbalimbali au kazi huna budi kushukuru.

Mwepesi wa kusamehe na kusahau. Vilevile mwelekeze mwenzako pale alipokosea ili siku nyingine kitendo hicho kisitokee. Usiwe mwombaji mzuri wa msamaha huku wewe hautoi.

Msifie mwenzako anapopiga hatua ya maisha anapokua katika muonekano mzuri n.k Usisubiri jirani amwambie. Tena hapa muwe makini sana maana ni rahisi kwa mwingine kuvutika upande wa pili kwa ajili yakusifiwa(Kusifia kunajenga picha ya kujali) japokua sio wote wanamaanisha.

Kuwa mkweli na mwaminifu katika mahusiano yenu

Usisubiri matukio maalum ndo utoe zawadi kama vile birthday, valentine day n.k, Mpe wakati wowote unapokua na uwezo wakumpa.

Usimuulize mpenzio anataka zawadi gani. Siku zote zawadi ni kitu ambacho mpokeaji hakijui na wala hatakiwi kukijua kabla hujampelekea. Kuna zawadi nyiingi sana ambazo unaweza mpa mwenza. Na kupitia muda wa urafiki wenu naamini utaweza kujua walau nusu kama si robo tatu ya vitu anavyovipenda. Ila jitahidi uwe ni muibuaji wa vitu vipya sio vilivyozoeleka.

Natumaini kwa kiasi fulani vitu kama hivyo kutoka kwa mwenza wako vimekufanya au vinakufanya umpende zaidi. Au ukosaji wa vitu hivi kwa mwenzako vimekufanya mshindwe kuendelea kua katika mahusiano au kuvunjika moyo. Jiheshimu na pia muheshimu mwenzako pamoja na hisia zake, mjali, mthamini, mtie moyo, mrekebishe anapofanya ndivyo sivyo na lingine ni kuombeana Baraka za mwenyezi Mungu zikae nanyi nakuwaongoza katika kila jambo.
Share:

Mambo ya kuzingatia wakati wa kuchagua mpenzi

Unapotafuta mpenzi wa kuishi  naye unatakiwa kuzingatia mambo yafutayo;

Chagua mtu mwenye msimamo
Muda aliotumia mpenzi wako kudumu katika uhusiano wake uliopita unaweza kukupa ishara ya nguvu ya mtu kudumu na wewe; Unaweza kutumia njia hii kama kipimo cha matarajio ya uhusiano wenu mpya. Ikiwa, kwa mfano, mwenza wako anayetarajiwa alikuwa na mahusiano kadhaa ambayo yalidumu kwa muda mrefu takribani yenye utulivu wa miaka miwili au zaidi, hii inaelezea uwezo wake mzuri wa kujitoa.

Kwa upande mwingine, mtu ambaye ana historia ya uhusiano usio thabiti, wa muda mfupi lazima aonekane kama hatari hata kama atatoa kile kinachoonekana kuwa ni sababu za halali. Kamwe haiwezi kuwa kosa la mtu mwingine kila mara anapovunja uhusiano.

Chagua mtu mwenye mfano mzuri
Kwa mfano, kuchagua mtu kutoka nyumba iliyovunjika, sio aibu. Lakini unaweza kutaka kujua jinsi mtu huyo alivyotatua maumivu hayo.

Baadhi ya watu huwa wamejifunza kuwa njia bora ya kutatua tatizo ni kukata tamaa. Tumaini kuwa mtu huyo amejifunza na kutofautisha mambo mengi kutoka kwenye makosa ya wazazi wake na yupo tayari kuonesha matokeo chanya katika maisha yake.

Chagua mtu anayeweza kustahimili msongo wa mawazo
Watu ambao wanaweza kustahimili matatizo kwa usahihi watakuwa na uwezo zaidi wa kubaki upande wako hata wakati unapopitia mambo magumu. Watu hawa wanaelewa dhana ya kujitolea, uaminifu, na kazi ya pamoja. Watu wenye wasiwasi sana wanaweza kuwa na hofu hasa kwa sababu ya tabia ya kutambua hali yenye shida ambayo ni mbaya sana kuliko ilivyo kawaida.

Chagua mtu mwenye huruma
Mtu anayeelewa maumivu yako na anayeweza kufanya jitihada za kukuweka sawa pindi unapokuwa katika kipindi kigumu. Chagua mtu mwenye fadhila na mwenye ukarimu; mtu ambaye ana moyo wa huruma, na asiyeogopa kuionesha huruma yake kwa vitendo.

Chagua mtu ambaye haogopi kufunguka
Amini nakuambia, ni jambo salama sana kuwa na mtu asiye na tabia ya kuyaficha maumivu yake moyoni mwake. Na mojawapo ya hali inayoogopesha zaidi katika mapenzi ni ile hali ya kutoweza kujua anachokiwaza mpenzi wako hasa kuhusu wewe.

Watu ambao hawako tayari kueleza kinachowasibu au dukuduku zao hujitengenezea bomu la matatizo bila kujijua, bomu ambalo hata lisipolipuka leo linaweza kulipuka muda wowote siku moja bila hata kujua sababu; unaweza kuwa vizuri sana.

Naamini umewahi kusikia mikasa ya watu ambao mapenzi yao yaliisha bila ya wao kutarajia, mume au mke anarejea nyumbani kutoka kazini anakuta mwenza wake amekusanya kilicho chake na kuondoka.

Chagua mtu ambaye anataka kuwa karibu na wewe, kimwili na kihisia
Chagua mtu anayependa kuwa karibu kihisia na kimwili; mtu ambaye hachoki kuzungushia mkono wake shingoni, begani, kiunoni au kushikilia mkono wako; mtu ambaye anapenda kukubusu. Kugusa kunaweza kuongeza radha yamapenzi katika uhusiano. Na kwa kuchagua mtu ambaye anaonekana kufurahia kuzungumza na wewe. Mtu ambaye hapendi ujisikie mpweke.

Chagua mtu ambaye ana maadili mema na mnayeshabihiana
Unaweza kupuuzia na kuchukulia kuwa hili ni jambo dogo tena halina maana ya msingi, lakini nakuambia kuwa mtu asiyependezwa na yale unayofurahia anaweza kuishiia kuvuna janga la upweke utakao pelekea kutelekezwa.

Na hatimaye wanaweza kumtafuta mtu mwingine ambaye wanaendana naye. Ikiwa wewe ni mkimbiaji, tafuta mkimbiaji; ikiwa wewe ni mwandaaji mziki, tafuta mtu anayevutiwa na muziki; ikiwa wewe ni mtu wa ibada, mtafute mtu anayependa ibada pia!.

Kufuata ushauri wangu sio njia ya uhakika kwamba hamtatengana. Kwa hakika utakuwa na mambo mengine machache ya kuyazingatia kama; kuwa na tabia njema kwa mpenzi wako, kuwa na heshima, na uwe mwepesi wa kutatua matatizo.

Share:

Jinsi ya kumsahau mpenzi wa zamani pasina gharama kubwa



Habari ndugu msomaji wa makala zangu katika kijiwe cha mapenzi  , karibu tena siku ya leo tuweze kujifunza zaidi kuhusu Ndoa na Mahusiano, leo tutazungumzia mahusiano.

Mahusiano ni sehemu kubwa sana katika kufanikiwa au kutokufanikiwa kwenye maisha yako, kama hauko kwenye mahusiano mazuri unaweza kukuta ndoto zako zinakufa na unashindwa kuwa yule mtu ambae umepanga kuwa kwenye maisha yako, lakini pia kama ukiweza kuyatumia mahusiano vizuri pia yanaweza kuwa sehemu ya kufanikiwa kwenye maisha yako.

Watu wengi sana hasa vijana wako kwenye mahusiano yasiokuwa na tija lakini wanashindwa kujinasua huko kwa kuogopa kuumia au kumuumiza mwenzake na ni kweli unajua muda fulani kwenye maisha unaweza kuwa na mtu ambae umemzoea kabisa anakufanyia mambo ambayo yanakurudisha nyuma lakini unashindwa kumuacha kwasababu unaogopa maumivu, leo katika makala hii nitakufundisha jinsi ya kumuacha mpenzi wako ambae hana tija kwenye maisha yako bila kumsababishia maumivu.

Yawezekana upo katika Mahusiano yasiyo na tija kwako na unashindwa kuvunja mahusiano hayo, Tumia njia zifuatazo kuvunja uhusiano huo:-

Punguza mawasiliano nae
Njia ya kwanza kabisa ya kuacha mahusiano yasio na tija bila kusababisha maumivu ni kupunguza mawasiliano, kama mlikuwa mnawasiliana mara tano kwa siku anza kufanya mara tatu kwa siku, baada ya muda fanya mara mbili, baadae tena mara moja, najua utapokea maswali mengi mara ooh mbona siku hizi hunipigiii jibu rahisi tu niko busy au sina vocha, mwisho wa siku atazoea.

Punguza muda wa kukutana nae
Kama mlikuwa mnaonana mara mbili kwa wiki anza kumpa nafasi ya kuonana mara moja kwa wiki, halafu ongeza kazi za kufanya ili hata akisema akutafute yeye atakukuta tu uko kwenye kazi nyingine najua utapokea maswali mengi sana, cha msingi ongea naye vizuri mwambie kuna majukumu yameongezeka mwanzo itakuwa ngumu lakini mwisho wa siku atazoea tu. wewe umeshaona kuwa hayo mahusiano hayakufikishi kwenye ndoto zako.

Fanya mazoezi sana
Kama ulikuwa huna tabia ya kufanya mazoezi ya viungo anza kufanya mazoezi ya viungo, mazoezi yanakufanya uwe busy muda mwingi na yanakuondolea mawazo yote, hii itakufanya uwe mtulivu sana siku zote.

Punguza matumizi kwake na anza Kuweka akiba
Hapa inabidi uwe mtu wa sina hela,punguza kabisa matumizi kwake halafu anza kuweka akiba,kama ulikuwa unamfanyia manunuzi mara kwa mara punguza halafu weka akiba,ili ikusaidie baadae.

Mfanye Awe Rafiki Yako
Ukitaka kuachana na mahusiano yasio na tija haina haja ya kumfanyia visa mwenzako, au kumuonyeshea kuwa humtaki tena hapana inaweza kukuumiza wewe zaidi au ikamuumiza yeye zaidi, maisha siku zote hayaeleweki, unaweza kuona leo mtu hana msaada kwako lakini siku nyingine akawa msaada kwako, sasa msiachane vibaya hata kama umegundua kuwa mahusiano hayo hayakufikishi kwenye ndoto zako, cha msingi wewe mfanye awe rafiki yako, tena ikiwezekana kama ulikuwa unamuita majina ya kimapenzi muda wote anza kumuita rafiki. Itakuwa ngumu mwanzo lakini atazoea tu.

Anza kumshauri sana kuhusu maisha kuliko mapenzi.
Tumia muda wako mwingi kila mnapokutana kuzungumzia maisha na ndoto zenu, mshauri sana kuhusu maisha kuliko mapenzi utaona kuna nguvu fulani hivi ambayo ilikuwa imezoeleka itaanza kupungua siku hadi siku na mwisho wa siku mnaachana kirafiki kabisa na kila mtu anaendelea na maisha yake huku mkiwa mnaongea kama kawaida.

Kwenye maisha usikubali kabisa mahusiano yavuruge ndoto zako na malengo yako ya kimaisha, ukiona tu uko kwenye mahusiano ambayo unaona yanapokupelekea ni kupoteza ndoto zako anza kuyaacha mapema sana
Share:

Sababu za wanaume wengi kukimbiwa na wanawake


Imezoeleka katika jamii kwamba wanaume hukimbiwa na wanawake kwa kukosa kipato au alichonacho ni kidogo, au muonekano na maumbile ya mwanaume bila kuzingatia kwamba wanawake huangalia vitu vingine zaidi ili kugundua kama wanaweza kuishi na aina hiyo ya mwanaume.

Zifuatazo ni sababu  zinazowafanya wanawake wakimbie mahusiano na wanaume wenye tabia hizi:-

Kulazimishwa au kusukumwa kwenye maamuzi.
Wanawake hupenda mwanaume mwenye msimamo wake na mwenye kufanya maamuzi na kusaidia wenzie wanapohitahi msaada kutoka kwake pamoja nayeye mwenyewe bila shinikizo kutoka kwa yeyote. Usisukumwe sukumwe hovyo hata kama ikiwa na mama yako hili huonyesha udhaifu.

Ulevi wa kupindukia.
Sawa, Unywaji wa pombe haujawahi kupingwa ila endapo mwanaume ni mnywaji kupindukia kiasi anaweza akalala hata baa, akaazisha ugomvi au kuzima kabisa haipendezi. Hakuna kitu wanawake wanachukia kama mwanaume asiwejiweza anapokunywa pombe.

Matusi na lugha chafu.
Inawezekana wote kuna wakati huwa tunajikuta tunatumia maneno makali kama matusi na lugha chafu lakini lakini sasa inapofikia 60% ya maneno yanayotoka mdomoni mwako ni machafu, tena bila hata kuzingatia mahali ulipo, haipendezi tena si kwa mwanamke tu. Wanawake huwafurahia wanaume wanaojua nini aseme na akiseme wapi. Lugha chafu na matusi hayatakufikisha popote kwenye sekta hii ya mapenzi.

Kulalamika kuhusu mpenzi wako wa zamani.
Hamna anayejali kwamba mpenzi wako alikua mdanganyifu, alikuchuna au Malaya, kumlalamikia mwanamke wako wa sasa kuhusu mwanamke mwingine kunazidi kukupunguzia nafasi yaw ewe kuwa na mwanamke wa sasa kwa muda mrefu 1) atafikiri licha ya yote, bado unampenda 2) atafikiri hicho ndicho utakifanya kwa anayefuata baada yake kwa maana kwa sasa unalalamika bila upande wa pili kuwepo hivyo waweza kuwa unadanganya na ndicho utafanya na baada ya mahusiano haya.

Mwanaume king’anganizi mwenye kuhitaji zaidi na zaidi. 
Mwanaume analazimisha kupigiwa simu kila baada ya lisaa katika siku? Utadhani isipokua hivyo atafariki, na ukumbuke hapo hata hajawa Boyfriend bado, ndio kwanza anaongea na msichana. Jaribu kutafuta cha kufanya uwe busy kidogo hamna kitu kinakera kama mwanaume ambaye wanawake watafikiri hana kingine cha kufanya zaidi ya kufikiria mwanamke au mapenzi, mpe muda wa kukumiss ili akuze hisia zake kwako inavyotakiwa.

Mtu asiyejali familia wala rafiki zake.
Haitajalisha kabisa hata kama utamfanya yeye ajisikie kama Malkia, kama hujali familia yako hatavutiwa na wewe kwa imani kwamba utamfanyia hivyo nayeye pindi atakapokua mmoja kati ya wanafamilia kama mtafikia hatua ya kuoana. Jitahidi sana uwe na mahusiano mazuri na watu wanaokuzunguka, wanawake huliangalia hilo kwa wakati.

Uongo.
Kusema kweli, uongo kwa wanaume umekithiri, wengi wao huongea na uongo ili wapate wanachotaka vile inaaminika kwao bila longo longo maisha ya siku hizi huwezi kumpata mwanamke, la hasha, endapo mwanamke anagundua umemdanganya kitu, hata kama kilikua kidogo namna gani, imani na wewe inapotea. Hamna uongo mdogo na mkubwa, uongo ni uongo. Na hakuja jinsi ya kujielezea kwanini mtu ulidanganya wakati fulani na sasa unaamua kusema ukweli. Kuwa mkweli wakati wote.
Share:

Fahamu jinsi ya kupata mpenzi bora


Unapochagua mpenzi wa maisha unatakiwa kuhakikisha unachagua mpenzi ambaye mtaendana naye kitabia, wengi wa wanawake na wanaume wengi wao utawasikia wakisema mimi nataka mpenzi asiye mlevi wakati huo yeye mwenyewe ni mlevi, kwa kufanya hivi kama utapata mpenzi, ni lazima mapenzi hayo hayatadumu kwa sababu utakuwa umepata mtu ambaye hamuendani kitabia na kihisia pia.

Hivyo ili uweze kupata mpenzi sahihi unatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo:

Lazima na wewe uwe bora kwanza.
Huwezi kusema unataka mtu bora wakati wewe mwenyewe siyo bora. Kama unataka mpenzi bora na sahihi kwako unatakiwa kwanza wewe mwenyewe uwe bora kwanza katika kila eneo ambalo wewe linakuhusu ndipo na wewe utakapopata mwenza bora pia. Hii si kwa wanawake tu bali hata kwa wanaume pia kama unataka msichana ambaye ni bora anza kwanza wewe kuwa bora ndipo mambo mengine yatafuta.

Lazima na wewe ujiheshimu.
Utasikia wadada / kwa wakaka wakisema mimi nataka mtu ambaye anajiheshimu, ni heshima gani ambayo unaizungumzia wakati wewe mwenyewe huna heshima hiy?. Kila wakati kumbuka huwezi kupata heshima unayoitaka kama wewe hauna heshima hiyo, kumbuka kila kitu unachokitaka kutoka katika jinsia tofauti ni lazima wewe uwe wa kwanza kuwa na tabia hiyo kabla ya kumuangalia mtu mwingine.

Kama unataka mwenye gari hakikisha na wewe unalo la kwako.
Hii ni kwa wadada utasikiawa kisema oooh mimi nataka mkaka mwenye gari, binafsi huwa najiuliza wewe unalo kama unalo basi una haki ya kusema hivo, kama unataka mtu mwenye gari basi na wewe uwe nalo ili muwe nayo mawili. Acha kujifanya unachagua watu wenye mali wakati wewe hizo mali hauna ni kapuku wa kutupwa. Kumbuka mali hutafutwa.

Ukitaka msomi hakikisha na wewe umesoma
Maara utasikia ooh mimi nataka msomi, mmmh ni usomi upi unaouzungumzia wakati wewe mwenyewe elimu yako huwezi hata kutamka hata mbele ya mtu?. kila wakati acha kujifanya bingwa wa kuchagua vitu ambavyo wewe huna, kama unataka msomi basi hakikisha na wewe ni msomi.

Mwisho naomba kwa kusema maisha ya mahusiano siyo vitu bali ni hisia, ukijifanya bingwa wa kuchagua vitu kuliko kusikiliza hisia zako zinasema nini basi neno ndoa utakuwa ukilisikia kwa waliopo ndoani pekee,
Share:

Njia nyepesi ya kukonga moyo wa mwanamke pasipo gharama


Mawasiliano mazuri kati ya mke na mme ni muhimu sana kwa ajili ya ustawi wa mahusiano ya wawili wapendanao. Inasemwa kuwa kuvunjika kwa mawasiliano pekee katika mahusiano kunasababisha mifarakano au kuvunjika kwa mahusaiano kati ya mke na mme kuliko sababu nyingine.

Wataalamu wa mapenzi na hisia za binadamu wanaeleza kuwa wanawake wanaguswa sana kwa maneno kuliko vitendo. Sauti na maneno mazuri ni vitu ambvyo vinawafanya wawe katika wakati mzuri sana kihisia. Wanaume wao wamefahamika kuwa wanavutwa zaidi kwa kuona kuliko kusikia.

Kwa msingi huu basi ni muhimu sana kwa wanaume walio katika mahusiano ya mapenzi kufahamu siri hii juu ya wenza wao wanawake. Ukitaka kuifanya siku ya mpenzi wako nzuri basi zingatia maneno yako na sauti yako iwe katika kiwango kinachofaa.

Yafuatayo ni maneno manne muhimu kuyasema kila siku kwa mkeo na yataleta mabadiliko makubwa katika mahusiano yenu. Maneno haya yanalainisha moyo,yanajenga uaminifu,yanazidisha upendo,yanaponya majeraha ya mapenzi na yanaleta furaha kati ya wapenzi:

Wewe ni Mwanamke Mzuri
Inawezekana uzuri ni sababu mojawapo ya kumuoa au kuwa naye. Basi hakikisha unamkumbusha kila mara. Wanawake wanahitaji sana kuhakikishiwa kuwa ni wazuri na wanavutia. Ni hatari sana kama hufanyi hivi kwa mkeo,n akuhakikishia wanahitaji kusikia maneno haya. Usipomwambia kuna mtu atamwambia barabarani au kazini na hii ni hatari.

Wanawake wasio ambiwa mara kwa mara kuwa ni wazuri huhangaika sana juu ya kubadilisha mavazi yao na vipodozi. Ikibidi wanaweza wakafikia kuvaa mavazi yasiyo na heshima sana kwa mtazamo wa jamii anayoishi. Hii ni katika kutafuta mrejesho kuwa ni mzuri.

Kama anatumia sana vipodozi na wewe hupendi basi mwambie ni mzuri hasa akiwa asilia,hivyo hahitaji vipodozi vingi.

Umependeza
Hili linaendana na la kwanza hapo juu lakini kupendeza sio lazima uwe mzuri. Uzuri unaweza ukawa wa sura,umbo au tabia zake. Kupendeza ni kutokana na mapambo na mavazi ambayo mtu anavaa.

Kama kuna mambo makubwa ambayo yanawachukulia muda mwingi wanawake wengi basi ni urembo hasa wa mavazi, nywele na vipodozi. Wafanya biashara wajanja wanaweka nguvu zao eneo hili kutoa huduma za wanawake.

Wanawake wanahitaji sana kuonekana wamependeza hasa toka kwa wapenzi wao. Mrejesho huu ni muhimu kwao na kunawafanya wajisikie vizuri , kujiamini na kujiona wa thamani. Mwambie mkeo kila siku asubuhi akitoka nyumbani au kila mnapotoka pamoja. Mwambie kila akibadilisha aina ya ususi wa nywele zake.

Asante
Kwa kweli mke ndiye mtendaji wa mambo mengi nyumbani. Hata kama kuna wasaidizi bado kunahitaji uongozi na bila shaka mke ni kiongozi wa yote haya nyumbani kwa walio wengi.

Utakuta nguo ni safi,chakula ki tayari,watoto wameoshwa na kuvalishwa na mengine mengi. Kuna kila sababu ya kusema “asante”.

Asante ina maajabu makubwa kama ikitolewa kwa jinsi inavyostahili na kwa dhati. Kwanza humfanya anayeambiwa ajione wa thamani sana kwako. Pili humfanya anayefanya aongeze bidii kwa yale anayoyafanya.

Hivyo usiache kushukuru kila siku kwa yale mkeo anayoyafanya. Kunawezekana mengine yakawa si mazuri,lakini hakutakosekana zuri la kushukuru.

Mwambie “Asante Mpenzi” , “Asante Mke Wangu” na maisha yenu yatakuwa mazuri na yenye furaha.

Fanya kwa vitendo pia,mfano nunua hata kitenge tu na umshangaze kwa zawadi. Mwambie “asante kwa kuwa mama mzuri wa watoto wetu” au “Asante kwa kuwa mke mzuri na rafiki mzuri kwangu”.

Nakupenda
Kupendwa ni mojawapo ya vitu ambavyo binadamu anahitaji sana. Chukulia mtoto mfano,toka tukiwa watoto kupendwa ni kitu kinachohitajika sana na kinapokosekana kuna madhara makubwa yanayotokea ikiwemo mtoto kutojipenda mwenyewe na kutojiona wa thamani. Kwa wanawake halikadharika, japo ni wakubwa tayari lakini kasumba ya utotoni imo bado ndani yetu na mahitaji ni yaleyale.

Ukiangalia vizuri mahangaiko yote ya mwanamke juu ya urembo na mavazi utaona kuwa ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Au kujinyima na kuishi katika mwenendo ambao wewe kama mume unafikiri ni vizuri au jamii inafikiri ni vizuri ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Basi kwa kumtamkia kuwa unampenda mara nyingi kadili utakavyoweza inampa kujiamini kwa jinsi alivyo na kwa yale anayoyafanya.

Kumwambia mkeo kuwa unampenda na kuonyesha kwa matendo kunamfanya naye akupende zaidi.

Neno hili likitumika kwa dhati na sio kusema tu lina maajabu makubwa katika kuboresha mahusiano ya wenza wapendanao.

Bila shaka umeelewa vyema, naomba nikutakie utekelezaji mwema katika hilo.
Share:

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger