juu

Thursday 6 June 2019

Shoo ya Diamond Yaingiliwa na ‘Watu Wabaya’, Jionee Mwenyewe – Video

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amekinukisha balaa baada ya kupafomu ngoma yake ya Nasema Nawe aliyoimba na mwanamama Khadija Kopa akiwa katika Uwanja wa Taifa wilayani Kahama usiku wa kuamkia leo, Juni 6, 2019.

 

katika shoo hiyo ‘Watu wabaya’ aliingilia shoo hiyo wakitembelea magongo ya miti jambo lililoibua shangwe stejini hapo huku mashabiki wakipiga makelele kushangilia kilichotokea

TAZAMA SHOO HIYO HAPA

The post Shoo ya Diamond Yaingiliwa na ‘Watu Wabaya’, Jionee Mwenyewe – Video appeared first on Global Publishers.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger