juu

Monday 3 June 2019

Cardi B Apoteza Mamilioni Kwa Upasuaji

RAPA wa kike anayetikisa kunako Muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Cardi B amekiri kupoteza mamilioni ya shoo kisa kufanya upasuaji wa mwili wake.

“Nachukia sana kukatisha shoo kwa sababu ya pesa. Naumwa kwa sababu ya pesa,” Cardi B aliweka kipande kifupi cha video chenye dakika 1:50 akiongea.

“Nalipwa pesa nyingi kufanya shoo. Ninakatisha shoo nyingi za mamilioni, lakini afya ni muhimu kwa hiyo nafanya vile naweza,” aliongeza Cardi B.

Hadi sasa, Cardi B ameshafanyiwa upasuaji wa matiti na hivi karibuni aliongeza upasuaji eneo la tumboni.

NEW YORK, MAREKANI IMELDA MTEMA

The post Cardi B Apoteza Mamilioni Kwa Upasuaji appeared first on Global Publishers.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger