juu

Saturday 1 June 2019

PENNY, HABARI YA NDOA NITASHANGILIA WENZANGU TU, MIMI HAPANA!

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Harusi Yetu kupitia Runinga ya Magic Swahili, Penieli Mwingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa anafurahi anapoona wenzake wakifunga na kutangaza ndoa zao lakini jambo hilo hataki litokee kwake.  Akizungumza na SHUSHA PUMZI, Penny alisema kuwa, moyo wake bado hauko tayari kuingia kwenye ndoa kwa sasa mpaka atakaporidhia hapo baadaye.

“Nafanya kipindi cha harusi, lakini huwezi amini napenda sana kuona watu wakioana na kuvaa mashela vile lakini mimi sipendi kabisa kuingia kwenye ndoa. Nafsi yangu inaona wazi bado haihitaji ndoa,” alisema Penny.

The post PENNY, HABARI YA NDOA NITASHANGILIA WENZANGU TU, MIMI HAPANA! appeared first on Global Publishers.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger