juu

Monday 25 November 2019

MKASA: Mke wangu anataka tufanye mara tatu.

Image result for Maisha ya mahusiano yanahitaji faraja

Wakati watu wanalalamika wanakosa haki yao ya ndoa lakini kuna wengine wanakinai kabisa. Loh! Mapenzi yanaendesha dunia jomoni.

Kutoka kwa Msomaji wa Makala zetu:

Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama 3 zilizopita amekuwa akinilazimisha nile mzigo kila siku hapa nilipo kichwa kinaniuma kutokana na kazi ya kila siku ya kuhakikisha anafurahi na jana nimeona nivunje ukimya baada ya kuniamsha usiku wa manane nile mzigo, nikamueleza mke wangu utaniua naomba tupumzike hata siku tano mbele target yangu ni kuwa baada ya siku tano anatarajia kuingia kwenye siku zake hivyo nitapata mapumziko ya kutosha.

Cha ajabu mke wangu kaanza kulia na kulalamika kuwa haamini kauli yangu ya kukataa kula mzigo, ilinibidi nimbeleze kisha nikampoza na kamoja hapa nilipo nipo njiani natoka job ameshanitumia sms ananiambia eti niwahi Anahamu ya dushe langu nimekaa kimya sikumjibu kanipigia simu anasisitiza alichokiandika kwenye sms yake tena kwa sauti ya majonzi.

Nampenda mke wangu ila ananichanganya kwa vile tabia hii hakuwa nayo mi ndio nilikuwa initiator wa mchezo wetu.

Hebu wadau wa App ya Mwalimu wa Mapenzi naombeni mnisaidie itakuwa kapatwa na nini hadi amekuwa hivi? Tabia hii kaanza tangu niliporudi kutoka safarini ambapo nilikaa kule kwa miezi 3 bila kushiriki nae.

Usisahau kushare post hii.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger