juu

Monday 25 November 2019

Nini kifanyike ili kuondoa uwezekano wa wapenzi kuchepuka nje ya ndoa?





1-Kurudisha thamani ya ndoa.

2-Kuheshimu wenza wetu.
3-Kutojisahau mara tu baada ya kufunga ndoa/kuzaa.
4-Kuboresha mawasiliano na yawe kwa uwazi zaidi.
5-Kuboresha utendaji wenu kwa ushirikiano zaidi.
6-Kutochukulia wanawake kama kiburudisho cha ngono.
7-Kujifunza na kujaribu mambo mapya kila siku.
8-Kuhakikisha "romance" inabaki pamoja na kuwa wewe na yeye ni mama na baba sasa.
9-Fahamu/tambua uhusiano wenu ume-base kwenye nini na boresha zaidi hapo.
10-Kufanya mambo pamoja kama wapenzi na sio baba na mama fulani (peleka watoto kwa bibi yao ili kuwa na wakati wenu kama zamani).


NB: Pamoja na mambo mengine ni muhimu sana kujuwa uwezo wa kingono wa mpenzi wako kabla hajawa wa "milele" ili kuepuka michepuko. Ukijua mapema inakuwa rahisi kwako kujua kama utaweza kumudu na kama hutoweza kumudu basi utajitolea mhanga kuvumilia au kutafuta mbunu m-badala za kuridhishana.

Natumaini nimejibu kama ulivyotarajia, kama hujaridhika niambie kipengere gani nikiongelee kwa mapana na marefu!
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger