juu

Wednesday 20 November 2019

Sanchi kupandikiza pacha mwezi ujao.



MREMBO mwenye umbo mtikisiko, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema mwezi ujao ndio anatarajia kwenda kupandikiza pacha watatu nchini Afrika Kusini. Akichonga na Za Motomoto News, Sanchi alisema kwa muda mrefu alikuwa na ndoto ya kufanya hivyo lakini anashukuru muda wake umefika kwa hiyo anatarajia kufanya hivyo mwezi ujao.

“Kila kitu kipo sawa na mpenzi wangu naye ananipa sapoti kubwa kwenye hilo na ndiye nitasafiri naye kwa sababu anajua nilikuwa nikitamani pacha watatu kwa muda mrefu namuomba Mungu tu anisaidie,” alisema Sanchi.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger