juu

Sunday 24 November 2019

Kutamani Kungonoka Kila Dakika….Je Huu ni Ugonjwa ?


Image result for Kutamani Kungonoka Kila Dakika….Je Huu ni Ugonjwa ?Habarini zenu
Mimi ni msichana na ninaomba mnisaidie kwani ninasumbuliwa sana na Ashki za kujaamiana kila muda.
Tatizo hili lilinianza takribani miaka kama 3 iliyopita baada ya kutumia vidonge vya kupunguza unene.
Dawa hizo nilizinunua toka kwa rafiki yangu mmoja ambae aliniambia alitumiwa na kaka yake aliyekuwa Thailand.
Vina rangi ya kijani kibichi na muundo wake ni kama kidonge cha Ampicilin. Ni kwamba vilinisaidia kwani nilipungua ila sasa ukaibuka ugonjwa huu.
Naomba mwenye kufahamu tiba anisaidie kwa maana naadhirika mjini hapa….Yaani kila saa mimi huku chini nanyevuka hata nisiposhikwa…
Please nipe ushauri …
Joan Sekioni
Share:

0 comments:

Post a Comment

Translate

sam magelle

Main Menu Links

HABARI KALI ZAIDI

HABARI ZILIZOPITA

CHAGUA HABARI na sammagelle.com

Copyright © juu | Powered by Blogger